Prof. Mwandosya aichana Polisi

.. Hakuna haki wala haki haitatendeka iwapo wafuatao hawatajiuzulu au kuchomolewa na Kikwete kupisha uchunguzi:1. Waziri Nchimbi;2. Mkuu wa mkoa wa IRINGA; 3. RPC;4. Mkuu wa wilaya;5. OCD; na 6. mkuu wa upelezi mkoa (RCO), 7. Chagonja.
 
Mbona hajasikitishwa na mauaji kule Igunga, Morogoro na kwingineko katika harakati za kisiasa? Au kwa vile aliyeuawa anamfahamu? Kuna maovu mengine ya kisisa kama kule Mwanza wabunge walipoumizwa mbele ya polisi hajayakemea!!! Is this tribalism, nepotism or zonal syndrome or perhaps portrayal of the endemic CCM culture of hating true democracy while entertaining irresponsibility?
 
Mshapanga kufanya fujo? haya tumeni sms nyingine kwa Mwema. Ile mlisema aandae risasi? Hii mtasema aandae nini?

Basi Mwema ni roboti - akiambiwa aandae risasi anatimiza kama alivyoambiwa. Mimi nilifikiri maroboti ni maRPC wake tu!!! RPC mzima hajui hata maana ya 'mkutano wa ndani'!!! Shame on this dola na vikaragosi vyake kama akina Zomba. Polisi wanafanya dhuluma ya wazi na mkuu wa nchi anakaa kimya- anashindwa hata kutoa kauli ya kukalipia vitendo kama hivi. Subirini siku ya siku ikiwadia mtapelekwa Segerea , kama mtakuwa mmeondoka duniani basi makaburi yenu yatageuzwa kuwa vyoo!!!
 
Basi Mwema ni roboti - akiambiwa aandae risasi anatimiza kama alivyoambiwa. Mimi nilifikiri maroboti ni maRPC wake tu!!! RPC mzima hajui hata maana ya 'mkutano wa ndani'!!! Shame on this dola na vikaragosi vyake kama akina Zomba. Polisi wanafanya dhuluma ya wazi na mkuu wa nchi anakaa kimya- anashindwa hata kutoa kauli ya kukalipia vitendo kama hivi. Subirini siku ya siku ikiwadia mtapelekwa Segerea , kama mtakuwa mmeondoka duniani basi makaburi yenu yatageuzwa kuwa vyoo!!!

Ule ni Mkutano wa ndani, waitolewa chumbani wale wakafyatuliwa? si ndio? hata picha zinawasuta.
 
Ule ni Mkutano wa ndani, waitolewa chumbani wale wakafyatuliwa? si ndio? hata picha zinawasuta.

Kwahiyo kilichofanyika ni sawa kwakuwa ulikuwa ni mkutano wa nje usio na kibali sio??

 
Kwahiyo kilichofanyika ni sawa kwakuwa ulikuwa ni mkutano wa nje usio na kibali sio??


Na kabla ya hapo waliambiwa wasifanye mkutano mpaka sensa iishe na wakaambiwa na polisi wasambaratike wakakaidi.
 
Na kabla ya hapo waliambiwa wasifanye mkutano mpaka sensa iishe na wakaambiwa na polisi wasambaratike wakakaidi.

Ingawa umeshindwa kujibu swali langu naongeza maswali 2 kutokana na maelezo yako....
Mosi...Ijumaa pale Mambo ya Ndani kulikuwa na kibali??
Pili ....Sensa ilishakwisha??

 
Ingawa umeshindwa kujibu swali langu naongeza maswali 2 kutokana na maelezo yako....
Mosi...Ijumaa pale Mambo ya Ndani kulikuwa na kibali??
Pili ....Sensa ilishakwisha??



Kwani ni chama kipi kilichotuma ujumbe kwa Mkuu wa Polisi kuwa watayarishe risasi?
 
Kwani marehemu alikuwa mtoto mdogo? Au Waziri alikuwa anaomboleza msiba wa mtu mwingine? Kwa hiyo huyu mtu mzima kufa ni sawa? Anyhow, inaweza kuwa ni tatizo la jumla la Mtanzania, hatujui kuwasiliana na haswa mawasiliano ya umma.

The more substantive problem, however, is his sense of tolerance and foot-dragging attitude toward the blood sport culture within law enforcement. "Iwe mara ya mwisho... iwe mara ya mwisho..." iwe mara ya mwisho mara ngapi?

Kiongozi wa kweli, shupavu ange demand responsibility, that somebody be held accountable for these inexcusable actions, sio arudie rudie iwe mwisho... sitaki kusikia tena... utadhani anamkanya mwanae wa chekechea.

Kwa mtu anaeongelewa kugombea urais hii inakupa picha ya haraka, a sneak peek, into his character and abilities, kwamba ni kiongozi dhaifu dhaifu kama Pinda fulani hivi, mikwala mingi ya kupiga marufuku vitu ambavyo vinatokea kila mara lakini hawana backbone ya kuwa na misimamo dhabiti.

Mkuu, kama nimemuelewa vizuri Prof. Mark Mwandosya, ana maana Mwangosi kwake ki umri ni kama mwanae, sioni kama hilo lina shida yeyote, yawezekana kwako wewe hayati MWangosi ni kama kaka yako just because of your age, lakini kwa umri wa Mwandosya akijilinganisha na marehemu Mwangosi ndo hivyo tena kwake yeye ni kijana wake, au pia (kwa tafsiri yangu) yawezekana baba wa marehemu Mwangosi na Prof Mark Mwandosya ni marafiki au wana umri unaofanana, hivyo ndo baadhi ya vigezo ambavyo nadhani Prof amevitumia!
 
Kwani marehemu alikuwa mtoto mdogo? Au Waziri alikuwa anaomboleza msiba wa mtu mwingine? Kwa hiyo huyu mtu mzima kufa ni sawa? Anyhow, inaweza kuwa ni tatizo la jumla la Mtanzania, hatujui kuwasiliana na haswa mawasiliano ya umma.

The more substantive problem, however, is his sense of tolerance and foot-dragging attitude toward the blood sport culture within law enforcement. "Iwe mara ya mwisho... iwe mara ya mwisho..." iwe mara ya mwisho mara ngapi?

Kiongozi wa kweli, shupavu ange demand responsibility, that somebody be held accountable for these inexcusable actions, sio arudie rudie iwe mwisho... sitaki kusikia tena... utadhani anamkanya mwanae wa chekechea.

Kwa mtu anaeongelewa kugombea urais hii inakupa picha ya haraka, a sneak peek, into his character and abilities, kwamba ni kiongozi dhaifu dhaifu kama Pinda fulani hivi, mikwala mingi ya kupiga marufuku vitu ambavyo vinatokea kila mara lakini hawana backbone ya kuwa na misimamo dhabiti.

I would actually say your lugubrious lament here provides a vivid but failed attempt at displaying intelligence, and what is left is a stark manifestation of a person that is so naive that there is no way any semblance of intellect can be attributed to you.
 
Kwani marehemu alikuwa mtoto mdogo? Au Waziri alikuwa anaomboleza msiba wa mtu mwingine? Kwa hiyo huyu mtu mzima kufa ni sawa? Anyhow, inaweza kuwa ni tatizo la jumla la Mtanzania, hatujui kuwasiliana na haswa mawasiliano ya umma.

The more substantive problem, however, is his sense of tolerance and foot-dragging attitude toward the blood sport culture within law enforcement. "Iwe mara ya mwisho... iwe mara ya mwisho..." iwe mara ya mwisho mara ngapi?

Kiongozi wa kweli, shupavu ange demand responsibility, that somebody be held accountable for these inexcusable actions, sio arudie rudie iwe mwisho... sitaki kusikia tena... utadhani anamkanya mwanae wa chekechea.

Kwa mtu anaeongelewa kugombea urais hii inakupa picha ya haraka, a sneak peek, into his character and abilities, kwamba ni kiongozi dhaifu dhaifu kama Pinda fulani hivi, mikwala mingi ya kupiga marufuku vitu ambavyo vinatokea kila mara lakini hawana backbone ya kuwa na misimamo dhabiti.

Aisee niliisoma hii bila miwani nikapaliwa mate

Juck Fakaya
 
ccm ikifanya kosa la kumutoa huyu mzee na mdogo wake mwakyembe basi ccm mbeya itakuwa imekwisha na kunauwezekano majimbo yote yakaenda upinzani
 
Bado hajafanya cha muhimu ambacho kinatakiwa kifanywe kwa swala zima linalohusu
Kifo cha Marehemu Mwangosi. Bali kazidisha machungu na hasira kwa Watanzania wote
isipokuwa Kikwete. Watanzania tunataka tuone na tusikie kama Serikali imewasimamisha
kazi mara moja, na kuwafungulia mashitaka wahusika wote wa mauaji hayo ya kutisha.
Kuanzia RPC ambaye ndiye aliyetoa amri ya mauaji, na yeye kushiriki katika tukio zima.
RCO na OCD, pamoja na askari waliotekeleza amri ya mauaji. Wote wanatakiwa wawe chini
ya sheria. Ina maana Prof. Mwandosya unataka kutueleza ujui nini maana ya kuwa kiongozi,
simamia kile kilichokuwa cha haki kubebana kuwe pembeni.
 
Back
Top Bottom