Umerogwa. ???? Ungesema baiskeli au bodaboda ningekuelewa. Unajua ataandika amemlipa mwenye taxi bei gani ? Mwenzio hakosi kuandika lakhi saba wewe kwa uzuzu wako unaona kupanda taxi ni cost cutting. I am sorry for your small mind and big head full of bones.
Kumbe leo kapaki ndinga ngapi home kwake?
Wanasiasa bwana, mbona hata akina Kigwangala na akina Kinana wanapandaga bajaji?Wewe kwa akili zako unafikiri eti wamepanda kutoka moyoni?Thubutu yako utaendelea kusifia mvua na itakunyeshea tena ile ya mawe kwa taarifa yakoNimefurahi kuona bado kuna watu wanaojali jasho la walipa kodi kwa kuto tumia mashangingi yanayobugia mafuta ovyo na infact yana-cost pesa nyingi sana za wavuja jasho. big up.., kudos Mukandara..!!
Kama humjui potezea tuu..Mtu kupanda taxi tu mjadala?? Kwani Mukandala ni nani?
Ila jamaa anajipenda sana...one of those few who still jog in the morning, regularly.
Mtu kupanda taxi tu mjadala?? Kwani Mukandala ni nani?
Labda nikowatajawafuatao utamjua
Dr. Ibrahim Kaduna
Mr. Nicholas Kuhanga
Prof Geoffrey Mmari
Prof. Mathew Luhanga. endelea utamkuta mbele
Francis you reason like a small boy. The question here is money my young brother. Mchepuko utafuatwa usiku watu wakisha jaza petty cash vouchers. Yule sio mjinga afuate mchepuko M.city wakati kwake ni nyuma ya Arthi institute. anapokutana na mchepuko hutomwona wewe japo anachepuka na vitu laini na vidogo yaani anatega na kokoro
Ila jamaa anajipenda sana...one of those few who still jog in the morning, regularly.
Am not sure.., sijui huwa anatumiaga nn cku zote.., ila leo nimemuona ndani ya teksi.., maybe ndio utaratibu wake wa cku zote..
Kwani Mukandala ni nani?
Labda nikowatajawafuatao utamjua
Dr. Ibrahim Kaduna
Mr. Nicholas Kuhanga
Prof Geoffrey Mmari
Prof. Mathew Luhanga. endelea utamkuta mbele
Ni Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa Ubungo Msewe...
Nimefurahi kuona bado kuna watu wanaojali jasho la walipa kodi kwa kuto tumia mashangingi yanayobugia mafuta ovyo na infact yana-cost pesa nyingi sana za wavuja jasho. Big Up
Kudos Mukandara.
Sasa kwanini uli-sign..?!Yani ajiandae!2kuridi chuo wana Udsm 2nakufa nae!mpaka sasa wiki inaenda ya 5 ha2japata hela ya field!Halafu kashirikiana na waliomuweka ku2sainisha fedha hewa!