Asenga wa Pakaya
JF-Expert Member
- Jul 13, 2012
- 260
- 61
Pamoja na changamoto zote zinazomkabili waziri huyu katika wizara yake ama kwa hakika ukilinganisha na waliopita utaona kwamba anajitahidi sana katika madini kwa wachimbaji wadogo na umeme vijijini.
Sasa kijijini mtu akiuza kuku wake watatu tu anaweka umeme ipo haja ya kumpongeza waziri huyu,kila asemacho kina hoja na ushahidi,,tusihukumu kwa kuangalia na kusikia upande mmoja.
Nenda prof watanzania makini tupo nyuma yako.
Sasa kijijini mtu akiuza kuku wake watatu tu anaweka umeme ipo haja ya kumpongeza waziri huyu,kila asemacho kina hoja na ushahidi,,tusihukumu kwa kuangalia na kusikia upande mmoja.
Nenda prof watanzania makini tupo nyuma yako.