minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 23,421
- 22,433
Akazifanye kwani kuna mtu kamzuia ila huku kwenye uwaziri hatumtaki
Haumtaki wewe peke yako na Boss wako Mengi na Mkono, lakini wengine wanamtaka. Ebu jiulize swali, Hivi Mengi angepata Vitalu vya Gesi na Mkono bado angekuwa mwanasheria wa Tanesco hadi leo ? Ungemjua Muhongo au escrow? Huoni kuwa Mengi ni Mnafiki mkubwa?