Prof. Muhongo kung'oka kabla ya Bunge kuanza

Prof. Muhongo kung'oka kabla ya Bunge kuanza

Status
Not open for further replies.
''ESCROW haukuwa mradi wa Prof Muhongo, hata mimi (Prof) niliukuta, kwanini nijiuzulu?!''

A very powerful, yet stupid statement kutoka kwa Prof. Muhongo. Yaani ameingia na kukuta kuna pipe ya kupitisha hela za kifisadi, na yeye akaamua aendelee kuchota badala ya kuziba huo mwanya.
 
Mwambie mnyika maji ubungo tunayataka mbona hayaji alisema atayaleta yako wapi?

mwambie mkulu tunataka kigoma yetu kama dubai. pia usisahau kumwambia mwanae kule lindi anakula mihogo ya kuchoma tu. amtuie hata hela ya vocha
 
Muhongo anakazi zake nyingi sana za kufanya huko duniani hata akiachia leo uwaziri atarudi kwenda kufanya kazi zake duniani anasubiriwa sana na kuhitajika sana.

kama umeongea haya hii habari inaukweli..
 
Sina haja ya kurudi tena darasani maana nikirudi tena darasani nakuwa Dr sio issue.

eti unakuwa dr. sema unagraduate form 4. sabab wa form six au four bado huwez jilinganisha nae nenda darasan ndugu yangu bado tunakupenda hiyo buku saba per day bado ndogo sana.pole sana najua unafanya hivo sabab ya maisha magumu
 
Prof Muhongo alishasema hivi, mind you huyu ni Prof hatishii nyau
  1. Kama rais atamfukuza kazi kwasababu ya sakata la escrow basi ardhi ya nchi hii itatikisika
  2. Escrow haukuwa mradi wa Prof Muhongo, hata mimi (Prof) niliukuta, kwanini nijiuzulu?!

mtikisiko huo tunautaman sana kuona, na mim nakuambia jamaa ana sir nzito huko stanbib
 
Kama alikuwa ni prof mwenye akili na muadilifu anyeipenda nchi yake angekataa hale ya escrow isitoke. Nawangekataa msimamo wake basi angeeaachia ofisi yao.

Kwa hiyo.umeme mliokuwa mnatumia wa bure mlitaka msilipe! Kulipa deni.ni wajibu
 
Muhongo anakazi zake nyingi sana za kufanya huko duniani hata akiachia leo uwaziri atarudi kwenda kufanya kazi zake duniani anasubiriwa sana na kuhitajika sana.

Hadhi yake imeshuka sana baada ya kutuhumiwa na ufisadi. Hakuna anayeweza kumsburi mtu wa namna hii.
 
Hadhi yake imeshuka sana baada ya kutuhumiwa na ufisadi. Hakuna anayeweza kumsburi mtu wa namna hii.

Hadhi yake haijashuka Licha ya Mengi kutumia Mabilioni ya pesa na vyombo vyake vya Habari kulizamisha Hadhi ushuke , wapambe wa Mengi hawawezi kusubiri Lakini Wajanja wapenda Ukweli wanasubiri.
 
Tatizo sio kazi tatizo cv kuchafuka

Wenye Akili Zao wanajua CV haijachuja bali inalazimishwa ichuje na Mengi ambaye anahaha usiku na mchana kumsakama Muhongo kwa gharama zizote zile.
 
Mwambie mnyika maji ubungo tunayataka mbona hayaji alisema atayaleta yako wapi?

Mnyika kila siku yupo Nyumbani kwa Mengi kapewa Kazi ya kumn'goa Muhongo kwa njia za kimafia , Mengi kamshusha cheo Sendeka kaamua kumpa kazi yote mnyika, Ubungo maji hakuna subirini Mbunge wenu kwanza amtumikie Mengi kwanza akimaliza ndipo atatizama shida zenu.
 
Kaogopa kutolewa na kina Lema Sugu na Nassary kwa nguvu.

Chezea nguvu ya umma ndani ya Bunge?

Muhongo yupo fiti kwa mazoezi ni master wa karate hao wavuta Bangi wakinusa watapewa ndonga mpaka wajute kuchukua Pesa za Mengi, na huenda mmoja akazimia na akiamka tu ataanika siri zote Jinsi Mengi anavyohaha kutafuta Sumu ya Kumteketeza Muhongo.
 
Kamati ya Ufundi ya Mengi ikiongozwa na Mganga wa Kienyeji toka Gambia wapo busy na Mengi kawaahidi kuwaongeza Dau endapo Muhongo atang'olewa na kuwekwa Mtu wake ambaye atampatia Vitalu week moja tu baada ya kuapishwa, Mengi keshamuandaa Waziri na katibu Mkuu wake ambao anataka washike Wizara ya Nishati kisha wampatie Vitalu kwa idadi anayotaka,kamati yake ya Ufundi wapo busy huku Mengi naye akitumia mapesa kueneza Uongo juu ya Muhongo hadi ahakikishe Muhongo anang'oka.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom