Prof. Muhongo kung'oka kabla ya Bunge kuanza

Prof. Muhongo kung'oka kabla ya Bunge kuanza

Status
Not open for further replies.
Prof. Mhongo hakuomba kuwa mbunge, alikuwa na shughuri zake ambazo zilikuwa zizamwingizia kipato kwa hiyo hawezi kujihudhuru mpaka afukuzwe

Hapo nimekusoma..he was recruited for specific mission...and the same is done!good to go!
 
Habari nilizofikishiwa ni kuwa Prof.Muhongo atang'oka kabla ya Bunge linalotarajiwa kuanza hii ni kutokana na shinikizo kutoka nje na hofu ya Bunge linalotarajiwa kuanza hivi karibuni kutokukalika.
Eti habari zimekufikia we kitasa kweli muhongo namba nyingine kwake maisha yake huwa ni kazi siyo umbea kama nyie pole kwa kupagwa na fedha za mafisadi.
 
Kaogopa kutolewa na kina Lema Sugu na Nassary kwa nguvu.

Chezea nguvu ya umma ndani ya Bunge?

kwani lema ile kazi yake ya kutoa huduma kwa vijana wa arusha amemaliza?
 
Huyu Prof ni jembe aendelee na kazi zake na rais ajae ampe hata uwaziri mkuu anafaa sana.
 
Prof Muhongo alishasema hivi, mind you huyu ni Prof hatishii nyau
  1. Kama rais atamfukuza kazi kwasababu ya sakata la escrow basi ardhi ya nchi hii itatikisika
  2. Escrow haukuwa mradi wa Prof Muhongo, hata mimi (Prof) niliukuta, kwanini nijiuzulu?!

Kama alikuwa ni prof mwenye akili na muadilifu anyeipenda nchi yake angekataa hale ya escrow isitoke. Nawangekataa msimamo wake basi angeeaachia ofisi yao.
 
Muhongo anakazi zake nyingi sana za kufanya huko duniani hata akiachia leo uwaziri atarudi kwenda kufanya kazi zake duniani anasubiriwa sana na kuhitajika sana.

Kiukweli inafahamika jamaa ni jembe na kimsingi yawezekana hajahusika na issue ya Escrow, ila kiungwana na kwa kujali utawala bora na pia kumpa heshima aliyemtea alipaswa tu kuomba kuachia ngazi ili kupunguza maneno maneno ambayo yanaleta mihemuko katika Taifa
 
mpaka majuha nao wanajua kuhoji siku hizi kazi kweli,muhongo siyo kituko kama slaa upeo wake uko mbali sana nyie wakaanga sumu hata ukoo wenu wote haufikii.

wewe n jinsia gani....muda woteeeee mawaz kwa Slaa... hujajshtukia unaonekana kama mpmbavu Fulani ... yani hapo ndiyo ukomo wako...
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom