Prof. Muhongo aogopa zomea zomea, aingia Nzega kimya kimya.

Prof. Muhongo aogopa zomea zomea, aingia Nzega kimya kimya.

afsa

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2012
Posts
1,986
Reaction score
1,592
Huyu prof. Muongo yupo Nzega. Ajabu ziara yake ni ya kimya kimya. Hakuna mkutano wa hadhara amekwepa majukumu yake ya kukutana na wananchi waliomuajiri. Naambiwa amekwepa zomea zomea ya Mara isimkute tena hapa Nzega.
 
Amefuata nini? Kumbe hata yeye anaiogopa nguvu ya wananchi? Atokeze kama kweli ana uhakika.nchi inaongozwa kanuni na sheria kama anavyojigamba.
 
Ulitaka aingie kwa ving'ora,unajua idadi viongozi wa nchi hii wenye hadhi ya kusindikizwa na ving'ora?
 
huyo ni kumdunda hadi aingie chini ya Calvert!!! Mwizi dawa yake ni kichapo tu!!! Hawa wajinga baada ya kuchukua 25% ya mapato ya mgodi wa Resolute iliyotakiwa itumike kufunga mgodi i.e kurudisha mazingira kama ilivyokuwa awali ...walivibiw nkuanza kututukana waananchi...Hakuna namna Zaidi ya kuwashughulikia ...

Huyu prof. Muongo yupo Nzega. Ajabu ziara yake ni ya kimya kimya. Hakuna mkutano wa hadhara amekwepa majukumu yake ya kukutana na wananchi waliomuajiri. Naambiwa amekwepa zomea zomea ya Mara isimkute tena hapa Nzega.
 
Hizo gari zinakimbia...! Taarifa nilizonazo sasa hivi tu alikuwa Ushetu, kaenda Msalala na Kahama mjini sasa hivi tena yuko Nzega? Ndo maana wanapata ajali!
 
Tena ukizingatia wiki hii ni wiki ya vichapo kwa wezi ilikua ni lazima mwizi huyu aingie kimya kimya.
 
Hizo gari zinakimbia...! Taarifa nilizonazo sasa hivi tu alikuwa Ushetu, kaenda Msalala na Kahama mjini sasa hivi tena yuko Nzega? Ndo maana wanapata ajali!

ameamua akimbie Kimbie kama kunguru asifanye mikutano coz alizomewa sana huko mara, atakoma
 
Kuna haja ya kuhamasisha zomea zomea kwa mafisadi nchi nzima isiwe kwa Muongo peke yake hata na Muhongo
 
Ningekuwa muhongo kitendo cha rais kuiambia halaiki nimewekwa kipolo ningejiuzuru siku ile ile
 
Ningekuwa muhongo kitendo cha rais kuiambia halaiki nimewekwa kipolo ningejiuzuru siku ile ile

kimechacha sasa, ila kujiuzulu hawezi huyu Nina wasiwasi hata uchaguzi ukianza jamaa hataachia ofisi
 
Mara mbona aliingia kwa nderemo?

Hamna kitu kama hicho kuna Clip nyingi mitandaoni, hakuweza hata kuhutubia MARA alizomewa balaa unaweza hata mhurumia (Nashangaa hawa ITV kama kawaida yao hawakuirusha ). Mwizi mwizi mwiziii, tunaomba pesa zetu!!
 
Hamna kitu kama hicho kuna Clip nyingi mitandaoni, hakuweza hata kuhutubia MARA alizomewa balaa unaweza hata mhurumia (Nashangaa hawa ITV kama kawaida yao hawakuirusha ). Mwizi mwizi mwiziii, tunaomba pesa zetu!!


George Marato hawezi kuonyesha kwa sababu amenunuliwa na kujengewa nyumba na CCM
 
Amefuata nini? Kumbe hata yeye anaiogopa nguvu ya wananchi? Atokeze kama kweli ana uhakika.nchi inaongozwa kanuni na sheria kama anavyojigamba.
Hujui? Mikakati ya Kampeni za urais ndizo hizo-Anaumezea mate
 
Back
Top Bottom