Ya kwangu ataipata atakapomaliza suala la wapimaji wa ardhi Mabibo Makuburi wanaotuzungusha mwaka wa nne huu bila hati. Maana mnatoa kauli tu hamfuatilii.
Wana UBUNGO kwa kauli moja tunaenda na Prof Dr Kitila Alexander Mkumbo (PhD). Barabara za mitaa zimejengwa mfano Manzese, Mabibo, Goba na UBUNGO. Tupewe nini tena?