Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 4,393
- 14,499
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda amesema Rais Samia ameagiza kila wilaya ambayo haina VETA ya serikali ijengewe VETA ya serikali. Ujenzi unaendelea katika wilaya 64 Tanzania nzima.
Vile vile, wakati Rais Samia anakula kiapo, kulikuwa na mikoa mitano ambayo haikuwa na VETA za mikoa. Mikoa mingine ilikuwa tayari imeanza ujenzi lakini haujakamilika. Hata hivyo, alivyoingia madarakani, katika bajeti yake ya kwanza alihakikisha fedha zinaelekezwa kukamilisha VETA ya Geita, ambayo imepangwa kuwa maalum kwa masuala ya madini. Aidha, tumekamilisha VETA ya Simiyu, Ludewa na Rukwa, na kwa sasa ujenzi wa VETA ya Mkoa wa Songwe unaendelea.
Vile vile, wakati Rais Samia anakula kiapo, kulikuwa na mikoa mitano ambayo haikuwa na VETA za mikoa. Mikoa mingine ilikuwa tayari imeanza ujenzi lakini haujakamilika. Hata hivyo, alivyoingia madarakani, katika bajeti yake ya kwanza alihakikisha fedha zinaelekezwa kukamilisha VETA ya Geita, ambayo imepangwa kuwa maalum kwa masuala ya madini. Aidha, tumekamilisha VETA ya Simiyu, Ludewa na Rukwa, na kwa sasa ujenzi wa VETA ya Mkoa wa Songwe unaendelea.