CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,357
- 6,424
Prof Mbalawa na maneger TANROAD Tanga, tunaomba maelezo kuhusiana na fidia ya kupisha ujenzi wa barabara kutoka Tanga-Pangani-Bagamoyo. Juzi tuliambiwa kuwa tufungue akaunti.
SWALI: Tunafunguaje akaunti kabla hata ya kufanyiwa tathimini? Hii siyo dalili nzuri. Tunawasiwasi tutapewa hela bila kufanyiwa tathimini, na kweli hatutatendeqwa haki.
Tunaomba maelezo.
SWALI: Tunafunguaje akaunti kabla hata ya kufanyiwa tathimini? Hii siyo dalili nzuri. Tunawasiwasi tutapewa hela bila kufanyiwa tathimini, na kweli hatutatendeqwa haki.
Tunaomba maelezo.