Hatushangai kwani tuumeishaambiwa remote iko msongaRais Samia anazidi kujipambanua kwa vishindo vya miradi badala ya propaganda
Kwenye bajeti ya mwaka huu tumesema wazi kuwa, tunakwenda kuanza ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo, Bandari ya Dar es Salaam itaendelea kufanya kazi, ambapo kwa zile meli kubwa ambazo zitashindwa kuingia katika Bandari ya Dar es Salaam zitakwenda kwenye bandari ya Bagamoyo," Prof. Mbarawa, Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi.
====
Quote: A woman is like a tea bag, you can't tell how strong she is until you put her in hot water
View attachment 2634213
Samia Suluhu Hassan - President of Tanzania speaking in June 2021