Prof. Mark James Mwandosya kuhamia upinzani?

Prof. Mark James Mwandosya kuhamia upinzani?

Tangu jana kumekuwa na taarifa za moja kati ya makada maarufu na wenye ushawishi ndani ya CCM Prof.Mark Mwandosya kuhamia upinzani, taarifa hizo zimekuwa zikienea kwa kasi sana na kuchagizwa vilivyo na vibaraka wa propaganda za CHADEMA na UKAWA bwana Yeriko Nyerere na wenzake.

Baada ya kuendelea kuzagaa kwa taarifa hizo nimeamua kufanya uchunguzi wangu binafsi dhidi ya madai hayo lakini nilichoambiwa na mmoja kati ya watu wa karibu sana wa Prof.Mwandosya na familia yake ameniambia kuwa PROFESA mara kadhaa amekuwa akihojiwa na watu mbalimbali wakiwemo waandishi wa habari pamoja na baadhi ya wanachama na makada waandamizi wa chama amekuwa akijibu na kusisitiza kuwa HANA MPANGO WA KUHAMA CCM.

Aidha duru za udadisi zinaeleza kuwa PROFESA kwa sasa yupo nchini MAREKANI katika shughuli zake binafsi.
Kwa kuwa wakati ni ukuta nadhani tusubiri tuone ataamua nini, kwenda kujivua nguo upinzani kama SUMAYE na mwizi mwenzie LOWASSA au ataendelea kulinda heshima na utu wake akiwa ndani ya CCM.

MUNGU IBARIKI TANZANIA
MUNGU BARIKI UCHAGUZI
MUNGU MUONGEZE PROFESA MWANDOSYA KATIKA KUTOA MAAMUZI YAKE
AMEN.
Pamoja na machungu aliyonayo Prof M Mwandosya si mtu wa kuhamanika na kubabaika kama kina Sumaye.
Prof hana papara, ila lazima tuseme wazi kuwa Mtandao ambao kiongozi wake anajulikana umemuumiza sana tena sana kisiasa.
Na si kumuumiza yeye kama mtu binafsi tu, bali vile vile Mtandao kwa kumdhoofisha Prof, umedhoofisha sana nguvu ya CCM Mkoani Mbeya.
Walichofanya mtandao ni ile kitu inaitwa "shooting ones self in the foot" kwa mkoa wa Mbeya.
Hivi sasa viongozi wa kitaifa wa CCM. Mkoani Mbeya hawana nguvu ya ushawishi kama ambayo angekuwa nayo Prof hasa wakati huu mgumu wa uchaguzi.
 
Tangu jana kumekuwa na taarifa za moja kati ya makada maarufu na wenye ushawishi ndani ya CCM Prof.Mark Mwandosya kuhamia upinzani, taarifa hizo zimekuwa zikienea kwa kasi sana na kuchagizwa vilivyo na vibaraka wa propaganda za CHADEMA na UKAWA bwana Yeriko Nyerere na wenzake.

Baada ya kuendelea kuzagaa kwa taarifa hizo nimeamua kufanya uchunguzi wangu binafsi dhidi ya madai hayo lakini nilichoambiwa na mmoja kati ya watu wa karibu sana wa Prof.Mwandosya na familia yake ameniambia kuwa PROFESA mara kadhaa amekuwa akihojiwa na watu mbalimbali wakiwemo waandishi wa habari pamoja na baadhi ya wanachama na makada waandamizi wa chama amekuwa akijibu na kusisitiza kuwa HANA MPANGO WA KUHAMA CCM.

Aidha duru za udadisi zinaeleza kuwa PROFESA kwa sasa yupo nchini MAREKANI katika shughuli zake binafsi.
Kwa kuwa wakati ni ukuta nadhani tusubiri tuone ataamua nini, kwenda kujivua nguo upinzani kama SUMAYE na mwizi mwenzie LOWASSA au ataendelea kulinda heshima na utu wake akiwa ndani ya CCM.

MUNGU IBARIKI TANZANIA
MUNGU BARIKI UCHAGUZI
MUNGU MUONGEZE PROFESA MWANDOSYA KATIKA KUTOA MAAMUZI YAKE
AMEN.

Nani alikwambia kubaki jehanam niushujaa?
 
acheni uzushi wa ki-K wazee

Mwandosya is not going anywhere
 
Tangu jana kumekuwa na taarifa za moja kati ya makada maarufu na wenye ushawishi ndani ya CCM Prof.Mark Mwandosya kuhamia upinzani, taarifa hizo zimekuwa zikienea kwa kasi sana na kuchagizwa vilivyo na vibaraka wa propaganda za CHADEMA na UKAWA bwana Yeriko Nyerere na wenzake.

Baada ya kuendelea kuzagaa kwa taarifa hizo nimeamua kufanya uchunguzi wangu binafsi dhidi ya madai hayo lakini nilichoambiwa na mmoja kati ya watu wa karibu sana wa Prof.Mwandosya na familia yake ameniambia kuwa PROFESA mara kadhaa amekuwa akihojiwa na watu mbalimbali wakiwemo waandishi wa habari pamoja na baadhi ya wanachama na makada waandamizi wa chama amekuwa akijibu na kusisitiza kuwa HANA MPANGO WA KUHAMA CCM.

Aidha duru za udadisi zinaeleza kuwa PROFESA kwa sasa yupo nchini MAREKANI katika shughuli zake binafsi.
Kwa kuwa wakati ni ukuta nadhani tusubiri tuone ataamua nini, kwenda kujivua nguo upinzani kama SUMAYE na mwizi mwenzie LOWASSA au ataendelea kulinda heshima na utu wake akiwa ndani ya CCM.

MUNGU IBARIKI TANZANIA
MUNGU BARIKI UCHAGUZI
MUNGU MUONGEZE PROFESA MWANDOSYA KATIKA KUTOA MAAMUZI YAKE
AMEN.

Hoja yako inakanusha uvumi?inamuasa/tisha Mwandosya au imelenga kuwatusi Lowasa na Sumaye? Maana wako ni mseto wa hoja zilizokosa mantiki au hoja za mtu alikurupushwa kutoka usingizini!
 
Tangu jana kumekuwa na taarifa za moja kati ya makada maarufu na wenye ushawishi ndani ya CCM Prof.Mark Mwandosya kuhamia upinzani, taarifa hizo zimekuwa zikienea kwa kasi sana na kuchagizwa vilivyo na vibaraka wa propaganda za CHADEMA na UKAWA bwana Yeriko Nyerere na wenzake.

Baada ya kuendelea kuzagaa kwa taarifa hizo nimeamua kufanya uchunguzi wangu binafsi dhidi ya madai hayo lakini nilichoambiwa na mmoja kati ya watu wa karibu sana wa Prof.Mwandosya na familia yake ameniambia kuwa PROFESA mara kadhaa amekuwa akihojiwa na watu mbalimbali wakiwemo waandishi wa habari pamoja na baadhi ya wanachama na makada waandamizi wa chama amekuwa akijibu na kusisitiza kuwa HANA MPANGO WA KUHAMA CCM.

Aidha duru za udadisi zinaeleza kuwa PROFESA kwa sasa yupo nchini MAREKANI katika shughuli zake binafsi.
Kwa kuwa wakati ni ukuta nadhani tusubiri tuone ataamua nini, kwenda kujivua nguo upinzani kama SUMAYE na mwizi mwenzie LOWASSA au ataendelea kulinda heshima na utu wake akiwa ndani ya CCM.

MUNGU IBARIKI TANZANIA
MUNGU BARIKI UCHAGUZI
MUNGU MUONGEZE PROFESA MWANDOSYA KATIKA KUTOA MAAMUZI YAKE
AMEN.
UKAWA hata asipokuja kigogo mwingine yoyote tumesha ivua nguo Ccm Kwa mawaziri wake wakuu wawili kuhamia UKAWA. Mwandosya mbona ni waziri Wa kawaida tu? Maboss zake wameshakuja wanatosha Sana.

Ila unapaswa ujue kuwa hamkuwah kuwaita wezi ndani ya Ccm hali inayodhihirisha kuwa wanaccm hamuitan wezi tu kwa vile mpo kwenye genge lenu atakayetoka ndo anaanza kuchafuliwa.

Ukiona mwanamke anamsemasema Mume wake baada ya kuachana naye basi jua anaumia kuachana naye NA bado anampenda.
 
Hoja yako inakanusha uvumi?inamuasa/tisha Mwandosya au imelenga kuwatusi Lowasa na Sumaye? Maana wako ni mseto wa hoja zilizokosa mantiki au hoja za mtu alikurupushwa kutoka usingizini!
ukishaona mpangilio Wa hoja za MTU haueleweki basi jua ubongo wake ndio Una shida kwan kwake yeye haoni km kuna tatizo ktk hoja yake.
 
hopeless minds discuss people, creative brain discuss issues....pole sana.
By the way what was your objective? How much have you been paid for a such a snappy article?
 
Before you post or write anything please construct your idea first either by making a simple research [no research no write to speak] or simple research.
Hapa umeuliza swali hapo hapo una leta tetesi za Prof.kuhamia upinzani without mentioning your source of information/data.

Kwani akihamia upinzani atakuwa ametenda kosa gani?wewe utapata madhara gani?
Prof.ni mtu mwelewa wewe unaweza kuwa mshauri wake?
Akili ndogo kuongoza akili kubwa.

 
Teh teh teh....eti ajivue nguo kama Sumaye! Yaani Sumaye kawavua nyie nguo nguo alafu mnasema kajivua nguo yeye! 😃😃😃
 
endelea kuota ndoto za mchana ewe kijana mpumbavu na lofa

UKAWA hata asipokuja kigogo mwingine yoyote tumesha ivua nguo Ccm Kwa mawaziri wake wakuu wawili kuhamia UKAWA. Mwandosya mbona ni waziri Wa kawaida tu? Maboss zake wameshakuja wanatosha Sana.

Ila unapaswa ujue kuwa hamkuwah kuwaita wezi ndani ya Ccm hali inayodhihirisha kuwa wanaccm hamuitan wezi tu kwa vile mpo kwenye genge lenu atakayetoka ndo anaanza kuchafuliwa.

Ukiona mwanamke anamsemasema Mume wake baada ya kuachana naye basi jua anaumia kuachana naye NA bado anampenda.
 
sumaye hana tofauti na bata au popo ambaye alidhani anamnyea Mungu aliyemuumba kwa kulala kichwa chini miguu juu ili amnyee Mungu matokeo yake akinya mavii yote yanamrudia yeye by Lusinde

Teh teh teh....eti ajivue nguo kama Sumaye! Yaani Sumaye kawavua nyie nguo nguo alafu mnasema kajivua nguo yeye! 
 
mbona unakurupuka kujibu usivyovielewa wewe, si umeambiwa uoshe vyombo na kudeki nyumba, endelea kuosha vyombo wewe house geli

ukishaona mpangilio Wa hoja za MTU haueleweki basi jua ubongo wake ndio Una shida kwan kwake yeye haoni km kuna tatizo ktk hoja yake.
 
unatoka povu bila sababu ndugu yangu, ukweli siku zote unachoma kuliko kupigwa msasa kwenye kidonda

hopeless minds discuss people, creative brain discuss issues....pole sana.
By the way what was your objective? How much have you been paid for a such a snappy article?
 
mkuu dizaini umepanic sana naona unajambajamba tu hapo

Hoja yako inakanusha uvumi?inamuasa/tisha Mwandosya au imelenga kuwatusi Lowasa na Sumaye? Maana wako ni mseto wa hoja zilizokosa mantiki au hoja za mtu alikurupushwa kutoka usingizini!
 
Back
Top Bottom