Prof. Maghembe Yuko Taabani Mwanga Kumekucha Sasa

Prof. Maghembe Yuko Taabani Mwanga Kumekucha Sasa

Kindus

JF-Expert Member
Joined
May 14, 2014
Posts
3,938
Reaction score
2,825
Wakuu Wasalam Wote Kwanza Kabisa Nalaani Kwa Nguvu Zangu Zote Na Kwaniaba Ya Chama Chadema Mkoa Wa Kilimanjaro Kitendo Cha Polisi Kumpiga Na Kumjeruh Mmoja Wa Watu Muhim Sana Katika Harakati Za Ukombozi Wa Taifa Mwenyekiti Wa Cuf Prof.Lipumba Haya Ni Matokeo Ya Kukaribia Kwa Ushindi Dhidi Ya Udhalimu

Wakuu Nikujulisheni Kazi Tuloifanya Leo Katika Wilaya Yetu Ya Mwanga Katika Opresheni Tuloipa Jina La 'Mwanga Wa Matumaini' Tukiungwa Mkono Na Wakuu Wetu Wa Cdm Wa Mkoa Wa Kill Na Arusha Katika Ziara Tulofanya Leo Kama Kawaida Kikosi Kazi Kimeendelea Kusambaza Kadi Za Cdm Kama Njugu Huku Tukiwazoa Wanachama 97 Baadhi Yao Wakiwa Viongozi Waandamizi Wa Ccm Wilaya Na Kata Picha Zipo Kesho Ntawatumia Muone. Hii Inaonyesha Kwamba Mda Wa Kung'oka Kwa Ccm Jimbo Hili Umekaribia Maana Wako Taaban Vya Kutosha Na Maghembe Analijua Hilo
 
Hongereni sana natumai na MTENGETI alikuwepo.
 
Last edited by a moderator:
- safi yule kijana wetu kileo kajiandaa vizuri kuchukua jimbo washamfanyia ukanjanja? Maana hawa jamaa hawachelewi walichomfanya leo lipumba ni hatari!
 
Daah sikuwepo leo nlikiwa napambana na diwani wetu wa kata ya mwanga na mwenyekiti wa kitongoji . Walikamata kuku wangu eti kwanin nimegoma kuchangua ujenz wa maabara wakat wameficha bulk ya escrow
Hongereni sana natumai na MTENGETI alikuwepo.
 
Last edited by a moderator:
Daah sikuwepo leo nlikiwa napambana na diwani wetu wa kata ya mwanga na mwenyekiti wa kitongoji . Walikamata kuku wangu eti kwanin nimegoma kuchangua ujenz wa maabara wakat wameficha bulk ya escrow
Pole sana mjomba.
 
Daah sikuwepo leo nlikiwa napambana na diwani wetu wa kata ya mwanga na mwenyekiti wa kitongoji . Walikamata kuku wangu eti kwanin nimegoma kuchangua ujenz wa maabara wakat wameficha bulk ya escrow

Pole Kazi Ya Leo Ilipigwa Vijiji Sita Ambavyo Ni Ngulu,kwakoa,msangeni,mruma,masumbeni,kisangara Juu,
 
Mimi nipo Wilaya ya Mwanga kwasasa... Niko hapa Usangi. Chadema hakuna anayekijua

Kwanza wanawaona wahuni toka kijana wenu Adieli akimbie kwa wizi wa Laptop za shule ya Usangi day.

Kighare toka ashinde Rays ni vurugu tupu, miradi ya kijiji imekwama.

Kwasasa tunamalizia Ujenzi wa chanzo kipya cha maji hapa ndanda, Mchali tumeshafungua visima viwili.. Mwanga mjini kuna mradi mkubwa wa maji wa maji unamaliziwa.

Kuhusu ujenzi wa Maabara karibu shule zote zina maabara za kisasa.
 
Mimi nipo Wilaya ya Mwanga kwasasa... Niko hapa Usangi. Chadema hakuna anayekijua

Kwanza wanawaona wahuni toka kijana wenu Adieli akimbie kwa wizi wa Laptop za shule ya Usangi day.

Kighare toka ashinde Rays ni vurugu tupu, miradi ya kijiji imekwama.

Kwasasa tunamalizia Ujenzi wa chanzo kipya cha maji hapa ndanda, Mchali tumeshafungua visima viwili.. Mwanga mjini kuna mradi mkubwa wa maji wa maji unamaliziwa.

Kuhusu ujenzi wa Maabara karibu shule zote zina maabara za kisasa.

Mkuu! Miradi yote uloitaja kwa mijihela ya escrow?
 
Mimi nipo Wilaya ya Mwanga kwasasa... Niko hapa Usangi. Chadema hakuna anayekijua

Kwanza wanawaona wahuni toka kijana wenu Adieli akimbie kwa wizi wa Laptop za shule ya Usangi day.

Kighare toka ashinde Rays ni vurugu tupu, miradi ya kijiji imekwama.

Kwasasa tunamalizia Ujenzi wa chanzo kipya cha maji hapa ndanda, Mchali tumeshafungua visima viwili.. Mwanga mjini kuna mradi mkubwa wa maji wa maji unamaliziwa.

Kuhusu ujenzi wa Maabara karibu shule zote zina maabara za kisasa.

Acha Woga Mbona Unakimbia Kivuli Chako Subili Tar.1 Mwez Wa Pili Tunatua Hapo Usangi Na Tutakuwa Na Makamanda Kibao Taifa Tunajaribu Kumpata Hata Mwenyekiti Taifa Tutafanya Mkutano Wanja Wa V.T.C, Chuo Cha Uma Kilichogawanwa Na Mafisadi.Kuhusu Ray's Mi Najua Ni Mwenyekiti Wa Mbunge Wako Maghembe Hivyo Muulize Maghembe Kua Ccm Mnafanya Fujo Za Nini Wakati Wananchi Washaamua? Ovaa
 
Acha uongo wew? Mwanga kuna mrad gan wa maji? Huu wa kuchimba mavisima ya kitapeli.? Tuna wiki ya tatu sasa mabomba yanatoa hewa kuhusu mchali/hapajawahi kuwa na shida ya maji tangu uhuru! Mshewa na chomvu kuna intake zaid ya tano zipo! Kuanzia ipombe le nuka inayopeleka maji mpka hospital ya wilaya, kuna intake kama nne zilizopo mto ndurumo ikiwemo ya lomwe sekondari, tatu za jumuiya za watumia maji za mshewa,ngeja kati na mchali! Hiyo mpya ya mchali ni ipi?
Mimi nipo Wilaya ya Mwanga kwasasa... Niko hapa Usangi. Chadema hakuna anayekijua

Kwanza wanawaona wahuni toka kijana wenu Adieli akimbie kwa wizi wa Laptop za shule ya Usangi day.

Kighare toka ashinde Rays ni vurugu tupu, miradi ya kijiji imekwama.

Kwasasa tunamalizia Ujenzi wa chanzo kipya cha maji hapa ndanda, Mchali tumeshafungua visima viwili.. Mwanga mjini kuna mradi mkubwa wa maji wa maji unamaliziwa.

Kuhusu ujenzi wa Maabara karibu shule zote zina maabara za kisasa.
 
Back
Top Bottom