Sijui nitumie maneno gani, lakini naomba niseme kama kweli wabunge wa CCM na serikali yake wanataka kuinua kilimo basi LAZIMA Prof Maghembe aondoke kwenye hii Wizara. Hana jipya, na wala haelewi nini anatakiwa afanye ili kunusuru kilimo. Ni aibu kuendelea kumuweka huyu Prof kwenye hiyo wizara.