Donyongijape
JF-Expert Member
- May 28, 2010
- 1,497
- 811
Jack of all trades, Master of None
Nnaamini kusoma si kufuta ujinga.
Ujinga ni genetic imprint.
Kwani wewe hujasoma?
Kwakuwa ujinga ni kupungukiwa maarifa ama ujuzi ama ujumbe/ habari.(information)Sikusoma kufuta ujinga, sijawahi kuwa mjinga, hakuna kwenye "genes" zetu ujinga.
Hii Buzcard imejaa uwongo, anaonyesha elimu fulani anayo kumbe hanaNaona Mwafenga anakuwa maarufu kirahisi.
Wacha tunogeshe kijiweView attachment 1226176View attachment 1226177
Huyu ndugu ni tapeli wa elimuHahahaha huyu Professor namjua vizuri...Mtihani mtupu huyu...Alikuwa anaingia na Vibomu wakati akisoma Sheria pale tumaini.Sema alikuwa anabebwa na Masumbuko Lamwai.