kidadari
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 8,647
- 9,574
omar said kibwende,
Duuh TZ kuna viwanda vya uongo by JK
Duuh TZ kuna viwanda vya uongo by JK
Nenda Mahakamani kamshitaki au andika barua kwa Mwajiri wake siyo hapa Jamii forum unamchafua bure; Mwajiri wake ni Hazina; Elimu yake siyo ya mbali ni IFM, Tumaini, UDSM, ESAMI/Maastricht na Open University; Kama wewe ni mkweli mtafute akuoneshe vyeti vyake; so far najiuliza anatafuta nini?Hizo elimu hana,ametakatisha elimu,education laundering
Naunga mkono hojaHamna kitu hapo,hao ndo wanaingiza nchi mikataba mibovu,wapigaji tu
Sent using Jamii Forums mobile app
AnVisiting associate professor mmmh huyu prof sio mzima
Anastahili teuzi na inabidi apiganie apate kama mzee mwenzie prof Beno kutupwa ubalozini.Haiwezekani hawa wazee waelimishee tu mismaka yote nyie na tudigrii twenu mteuliwe magwiji wasage lumba tu,napongeza teuzi za magufuli za kukumbuka maprofesa na madokta watu waliokuwa wamesahauliwa sana na awamu zilizopita kwa sababu ya wivu wa kifikra eti.Hii ni ID. ya ndugu Mafwenga mwenyewe hii bila shaka.
Huu utetezi wako umepitiliza, wewe ni Mafwenga mwenyewe unapigania teuzi tu.
Sent using Jamii Forums mobile app