I believe so too.Namba wananakiri kwenye shina la ballot kule kwenye kitabu. Unaweza kujua nani alipiga kura lakini hauwezi kujua alimpigia nani. Lipumba aache wenge.
Mbona miaka yote ndo huwa inakuwa hivo kwa sisi tuliopiga kura chaguzi zaidi ya tano.Ni kweli aisee hata mimi hicho kitu nimekiona lkn nikajua ndio utaratibu wa mwaka huu..ila poa tu wala asitutishe Magufuli maana hawezi kuongoza milele ipo siku yake tu na yeye atalamba Udongo
Hatari sana hii
Saa ngapi mnarudisha internet mkuu, tushuhudie mlivyochaguliwa kwa 200%,Yaani wapinzani wa nchi hii bogus kabisa! Kuna mwingine mbeya anajiita Sugu, alivyokuta tume imejipanga vizuri hakuna changamoto, alivyoulizwa changamoto aliziona eti "vyumba vya kupigia kura ni vidogo sana havina hewa, akaenda mbali na kusema, wasimamizi wakitoka hapo wakanywe maziwa" yaani watu wa hivi kuwapeleka bungeni no kupoteza kodi zetu bure tu! Na tunawapiga kipigo kitakatifu, kura zote kwa ccm.
Huu utaratibu toka 1995 ina maana alikuwa hafuatilii
Waache UKAWA wajadili ujinga wao na wanaojadili hili hawajapiga kura hahahhaa UPO SAHIHI ILIVYOWAELIMISHA ila kwa sababu pinga pinga team lazima wapingeAnazeeka vibaya, namba inaandikwa pale juu ndio lakini baadae inapochanwa karatasi ili upewe ukapige kura, ile namba inabaki kwenye kitabu haitoki na karatasi.
Tatizo lenu ham fuatilia mpaka muambiwe. Hili liko kitaalamu, kishina ndicho kinaandikwa na wala siyo karatasi inayohesabika kama kura.Ni kweli aisee hata mimi hicho kitu nimekiona lkn nikajua ndio utaratibu wa mwaka huu..ila poa tu wala asitutishe Magufuli maana hawezi kuongoza milele ipo siku yake tu na yeye atalamba Udongo
CCM wauaji wakubwa nyie furaha yenu ni kuona damu ya watanzania ikimwagika,sijui mnafaidi niniChadema mmetutesa sana Watanzania, tumewachoka
Kama ile karatasi nayo Ina serial Na.kama ya kwenye kibutu wanaweza kujua nani alipiga.Aache uongo! Namba ya kadi inaandikwa kwenye kibutu tu! Karatasi ya kura haina sehemu ya kuandika namba ya kadi, anayefanya hivyo anakiuka sheria
CCM wauaji wakubwa nyie furaha yenu ni kuona damu ya watanzania ikimwagika,sijui mnafaidi nini
Kwa hiyo hujaenda kupiga kura?Huu uchaguzi ni upuuzi kama upuuzi mwingine, na ndio maana watanzania wengi wamepuuza zoezi zima. Idadi ya wapiga kura ni ndogo kuliko maelezo kwenye vituo. Mambo kama hayo nani yuko tayari kwenda kushiriki huo upuuzi?
Hivi Lipumba ni CHADEMA?CHADEMA tulieni dawa iwaingie kwa makagari yenu
Sasa wanataka kujua watanzania wapi walipiga kura ya matumaini, kura ya mabadiliko, ili muwafanyaje, muwateke muwaueLipumba naye atulie ni muda wa kustafu siasa akalee wajukuu
Kwa hiyo hujaenda kupiga kura?
Bila shaka kitufe kina namba inayoendana na karatasi uliyopewa,Je namba ya kitambulisho inayonakilishwa kwenye kitufe kinachobaki kwenye kitabu cha karatasi za mpiga kura si ushahidi tosha iwapo kutakuwepo na sababu ya kujua nani kampigia nani?.Ila sema zoezi la kufanya uhakiki ni gumu sana.Anazeeka vibaya, namba inaandikwa pale juu ndio lakini baadae inapochanwa karatasi ili upewe ukapige kura, ile namba inabaki kwenye kitabu haitoki na karatasi.