Prof. Lipumba: Hali ya uchumi Tanzania hairidhishi

Huyu nani wa kumsikiliza ?! Hata wanyamwezi wenzie hawawezi kumsikiliza !!.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili punga ndio miongoni ya miphd holder's uchwara waliodhalilisha umuhimu wa elimu.

Cc Pohamba
Pamoja na hayo asemayo ni ya ukweli. Wajibu wake ni kupaza sauti.

Jitokeze na wengine tupaze sauti, hali ni mbaya tuelekeako ni kubaya zaidi.

Binafsi namshukuru.🙏
 
Reactions: BAK
akili imeanza kumrudi sasa. jua lishazama.
 
Huyu, yaani huyu!?
Chochote asemacho siwezi kukiamini hata kama ni cha kweli. Kidendo cha kuivuruga Cuf nitamsamehe, ila itachukua mda, anivumilie.
Si huwa anaalikwa kwenye majukwaa ya Mkuu, mbona hamwambii haya. Wazalendo Wanafiki hawa.
Prof. Lipumba anapokuwa kuwa kwenye uchambuzi wa mambo ya uchumi anakuwa Professor Lipumba lakini anapokuwa kwenye siasa anabadilika kuwa Prof. Lipumbavu
 
Wakati mwingine nikimuona huwa naona kama wasomi wote wapo hivyo.Ila nakumbuka kuna wanaosoma kuelewa na wale wanaokariri.
 
Kuamini anapata hivi vyote bure au Kwa hisani ni si Kwa sababu za kisheria au kwa kuwa yuko entitled ni upuuzi mtupu na Hapo ndipo udhaifu wako wa kufikiri unapoanzia na kuendelea mbele.
Sheria boss.. waziri mkuu na makamu na Raisi wako entitled....
Sasa qualified mpuuzi ni wewe unayedhani unajua kila kitu kumbe mbulula wa nguvu 🤣🤣
 

Propesa Pumba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…