Prof. Lipumba: Hali ya uchumi Tanzania hairidhishi

Mh. Mwenyekiti wa Cuf kipindi Cha awamu ya nne uchumi mbaya, kipindi Cha awamu ya tano uchumi mbaya wakati miradi mingi inafadhiliwa na pesa za ndani sielewi maana ya uchumi wa nchi nisaidieni.
Gunga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Awamu ya tano fedha za ndani zipi zinazoendesha miradi? Yaani unafuata jiwe anayosema jukwaani? Mtu anakopa mikopo ya kibiashara yenye riba kubwa. Exim china na Egypy, na kuna mkopo mwingine wa trillion nne unakuja toka nje nao ni fedha za ndani? Fuatilia ripoti ya CAG uone kwa mwaka mmoja tu 2017 - 2018 tumekopa trillion ngapi? Hiyo ni mikopo ya nje na bado ya ndani ambayo ni karibia trillion nane. Yaani wewe bado unaamini story za Mzee baba anazopiga majukwaani? Mapato yameshuka sana ndio maana siku hizi hawatutajii tena wanakusanya ngapi!!! Haijawekwa sheria ya takwimu burebure tu, imewekwa kutengeneza watu wa aina yako usiopate information za kutosha na kuihoji serikali Bali utegemee watakachoimba majukwaani. Masikini Tanzania!!

Mh. Mwenyekiti wa Cuf kipindi Cha awamu ya nne uchumi mbaya, kipindi Cha awamu ya tano uchumi mbaya wakati miradi mingi inafadhiliwa na pesa za ndani sielewi maana ya uchumi wa nchi nisaidieni.
Gunga

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Intellectual Skills
 
Mbona Prof Lipumba anaacha kula Ruzuku za hao Watanzania anaojifanya anawaonea huruma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuamini anapata hivi vyote bure au Kwa hisani ni si Kwa sababu za kisheria au kwa kuwa yuko entitled ni upuuzi mtupu na Hapo ndipo udhaifu wako wa kufikiri unapoanzia na kuendelea mbele.
Yuko kwenye payroll... makamu mstaafu... chakula, matibabu, vacations bure
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…