Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,086
- 144,523
Prof.Lipumba, tofauti na Dr.Slaa, tangu ajitoe UKAWA amekuwa kimya bila kuendesha harakati zozote za kuhujumu UKAWA na viongozi wake na kwakuwa Prof. ni mchumi mzuri tu, je tumsamahe na kisha apewe nafasi katika Serikali ijayo ya UKAWA?
UKAWA kushinda huu uchaguzi uwezekano ni mkubwa unless tuhujumiwe.
Najua kuna watu watapinga wazo hili ila nawaambia wakumbuke tu hata mh. Mbatia licha ya kuwa ni mpinzani, bado Raisi Kikwete alimteua kuwa mbunge na faida ya uteuzi wake ndani ya Bunge wote tumeiona.
Halikadhalika, hata mh. Mbowe alipokuwa Karatu kwenye mkutano wa kampeni alisema Dr.Slaa akitaka kurudi CHADEMA anakaribishwa.
Toa maoni yako.
Unaweza pia changia kwa kusema tu "NDIO" au "HAPANA".
Karibu tujadili.
UKAWA kushinda huu uchaguzi uwezekano ni mkubwa unless tuhujumiwe.
Najua kuna watu watapinga wazo hili ila nawaambia wakumbuke tu hata mh. Mbatia licha ya kuwa ni mpinzani, bado Raisi Kikwete alimteua kuwa mbunge na faida ya uteuzi wake ndani ya Bunge wote tumeiona.
Halikadhalika, hata mh. Mbowe alipokuwa Karatu kwenye mkutano wa kampeni alisema Dr.Slaa akitaka kurudi CHADEMA anakaribishwa.
Toa maoni yako.
Unaweza pia changia kwa kusema tu "NDIO" au "HAPANA".
Karibu tujadili.