THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 18,543
- 14,803
Uzinifu wa Slaa unakuwa defined kwenye kitabu kipi na aya ipi?
Na kwa nini 'uzinifu' wa Slaa uwe ndio kigezo cha kutokuwa Rais na unawaimbia mapambio wezi, wabadhirifu, makatili, wahuni wengi wengine? Kwenye kitabu gani na sura ipi pameandikwa mzinifu asiwe rais ila mwizi, mla rushwa, mwongo na fisadi ni sawa kwa Urais?
Kwangu mimi kiongoz hawez kuwa mzinifu.
Na kama kaz ya mungu ilimshinda atawezaje kuifanya kazi ya kuongoza taifa??
Padre slaa achukue time zake.