johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,979
Mwenyekiti wa Cuf Prof Lipumba amedai kuwa inawezekana kabisa bungeni ikapitishwa bajeti nzuri na kupigiwa makofi la kitakachoenda kutekelezwa na serikali ni kitu tofauti kabisa.
Ametolea mfano wa taasisi moja iliyopitishiwa bajeti ya sh bilioni 2 bungeni lakini hadi mwaka unaisha impokea sh milioni 100 tu kutoka serikalini.
Prof Lipumba ameitaka serikali kulipa madeni ya ndani yakiwemo ya wazabuni na yale ya watumishi wa umma wakiwemo walimu.
Mwisho, Prof Lipumba amedai serikali imekuwa na tabia ya kutekeleza bajeti kwa matwaka ya kisiasa ambapo viongozi wanatekeleza ahadi binafsi za wakati wa kampeni kwa kutumia bajeti ya serikali. Hii inafanya mambo ya msingi yaliyo kwenye bajeti yasitekelezwe kwani kiasi kikubwa cha fedha hupelekwa kwenye ahadi binafsi za kisiasa.
Source Clouds tv habari
Maendeleo hayana vyama!
Ametolea mfano wa taasisi moja iliyopitishiwa bajeti ya sh bilioni 2 bungeni lakini hadi mwaka unaisha impokea sh milioni 100 tu kutoka serikalini.
Prof Lipumba ameitaka serikali kulipa madeni ya ndani yakiwemo ya wazabuni na yale ya watumishi wa umma wakiwemo walimu.
Mwisho, Prof Lipumba amedai serikali imekuwa na tabia ya kutekeleza bajeti kwa matwaka ya kisiasa ambapo viongozi wanatekeleza ahadi binafsi za wakati wa kampeni kwa kutumia bajeti ya serikali. Hii inafanya mambo ya msingi yaliyo kwenye bajeti yasitekelezwe kwani kiasi kikubwa cha fedha hupelekwa kwenye ahadi binafsi za kisiasa.
Source Clouds tv habari
Maendeleo hayana vyama!