Prof. Kitila Mkumbo - Mwenyekiti UDASA

Prof. Kitila Mkumbo - Mwenyekiti UDASA

Kiukweli sitatizwi kabisa na myopic wote waliokuwa blindfolded na mapenzi yao kwa chama, huku wakiwaabudia watu wasio na uwezo, kwa kuwanyooshea vidole vya usaliti wenye uwezo wowote!.

Angalia kwenye safu yenu yote!, nani ana vigezo na viwango vya kumkaribia huyu jamaa?!.

Kama usaliti ni ule waraka, nimewatetea 100 times, haukuwa waraka wa usaliti wala wa mapinduzi bali a "winning coalition!".

Tena shukuruni sana ZZK ameamua kuifuta kesi kwa ridhaa yake na kujifungashia na kujiondokea, vinginevyo...

2015 sijui mngekuwa wageni wa nani?!.

Pasco

Pasco ameanza kuwa mzigo hapa jf.
 
Last edited by a moderator:
Kiukweli sitatizwi kabisa na myopic wote waliokuwa blindfolded na mapenzi yao kwa chama, huku wakiwaabudia watu wasio na uwezo, kwa kuwanyooshea vidole vya usaliti wenye uwezo wowote!.

Angalia kwenye safu yenu yote!, nani ana vigezo na viwango vya kumkaribia huyu jamaa?!.

Kama usaliti ni ule waraka, nimewatetea 100 times, haukuwa waraka wa usaliti wala wa mapinduzi bali a "winning coalition!".

Tena shukuruni sana ZZK ameamua kuifuta kesi kwa ridhaa yake na kujifungashia na kujiondokea, vinginevyo...

2015 sijui mngekuwa wageni wa nani?!.

Pasco

Pasco ameanza kuwa mzigo hapa jf.
 
Last edited by a moderator:
Huyu anatumiwa na ccm na ninawashangaa mnaomsifu jinsi mnavyoshindwa kuunganisha dots na kupata jawabu. Mkumbo na zito walikuwa mawakala wa ccm na bado ni mawakala wakiifanyia kazi ccm kuvisambaratisha vyama vya ukombozi hasa vile vinavyokubalika. Na hapo udasa kapandikizwa tu ili kuwa-lobe wanachuo na wasomi kuipigia kampeni ccm pamoja na kuwaondoa wale wasiowaunga mkono. Huamini, subiri ni swala lamuda tu utasikia mengi. Fikiri kidogo tu, juu ya wapiga kura 1000 na ushee kisha wapige pungufu ya 100. Hata 2/3 ya ikama inayoruhusiwa haikuwepo kisha mshangilie! Hamkufikiri vizuri hapa kwani yamekuwa mazoea kuwaburuza watu hasa kwenye masuala yahusuyo uchaguzi. Ndo maana nikasema, ccm is behind this. Hawakwepi. Na jumuiya ya udasa kayapingeni matokeo haya mahakamani kwani mmechaguliwa asiye chaguo lenu. Hafai ni double standard huyo!.

Cc: pasko et al.
 
Hili ni jembe la ukweli!, nilikuwa namsiliza jana BBC kuhusu kifo cha Rais Satta!.

Masikini kile chama!, they didn't know what treasures they had until when they lost it!.

Pasco

Tatizo la Pasco ni hili moja, UNAFIKI!
 
Last edited by a moderator:
Kiukweli sitatizwi kabisa na wanaoujua ukweli bayana kuwa Prof. Kitila ni kichwa ambacho miongoni mwao, hawana mfanowe!, ila kwa sababu tuu ameitwa msaliti, basi ndio mnaamini dhana ya usaliti, has anything to do with his brain power!, ukiwa kichwa, wewe ni kichwa tuu, regardless uko chama gani!, hawa vichwa kwenye vyama makini, huenziwa kama assets muhimu za chama!.

Nawaombeni sana, tenganisheni siasa zenu za maji taka na brain powers za watu!, Prof. Mwingine ni Mwesiga Beregu, mnakumbuka alipolazimishwa kujiondoa kwenye Tume ya Kukusanya Maoni alijibu nini?!.

Kama wanachama, wafuasi, na washabiki wanaotarajiwa kuuleta ukombozi wa nchi hii ndio hii sample ya hawa waliomu humu jf!, then safari ya ukombozi wa kweli bado ni ndefu kuliko inavyotajajiwa!, We have to invest in brainkwanza za hawa vilaza wa humu, ili kuwa empower, waweze kusambaza spirit ya mabadiliko kwa the masses!.

ukilaza jamani ni sheedah!.

Poleni!.
Pasco
 
Kiukweli sitatizwi kabisa na wanaoujua ukweli bayana kuwa Prof. Kitila ni kichwa ambacho miongoni mwao, hawana mfanowe!, ila kwa sababu tuu ameitwa msaliti, basi ndio mnaamini dhana ya usaliti, has anything to do with his brain power!, ukiwa kichwa, wewe ni kichwa tuu, regardless uko chama gani!, hawa vichwa kwenye vyama makini, huenziwa kama assets muhimu za chama!.

Nawaombeni sana, tenganisheni siasa zenu za maji taka na brain powers za watu!, Prof. Mwingine ni Mwesiga Beregu, mnakumbuka alipolazimishwa kujiondoa kwenye Tume ya Kukusanya Maoni alijibu nini?!.

Kama wanachama, wafuasi, na washabiki wanaotarajiwa kuuleta ukombozi wa nchi hii ndio hii sample ya hawa waliomu humu jf!, then safari ya ukombozi wa kweli bado ni ndefu kuliko inavyotajajiwa!, We have to invest in brainkwanza za hawa vilaza wa humu, ili kuwa empower, waweze kusambaza spirit ya mabadiliko kwa the masses!.

ukilaza jamani ni sheedah!.

Poleni!.
Pasco

OK OK OK isiwe noma. Siye vilaza tumekusikia Mr "intelligent"...
 
OK OK OK isiwe noma. Siye vilaza tumekusikia Mr "intelligent"...
Mkuu Tisha Toto, kauli huumba!, unaweza kuwa kiukweli wewe sii kilaza, lakini unapojiita kilaza, unajiumbia ukilaza na utakuja kuwa kilaza kweli!!.

Pasco
 
Mkuu Tisha Toto, kauli huumba!, unaweza kuwa kiukweli wewe sii kilaza, lakini unapojiita kilaza, unajiumbia ukilaza na utakuja kuwa kilaza kweli!!.

Pasco

Nikijilinganisha na "gwiji" weye, mi mbona ni kilaza sana tu?
 
Baada ya UDASA kuongozwa kwa muda wa miaka miwili kama tawi la CCM hatimaye Prof Mkumbo amechaguliwa Mwenyekiti mpya. Tunamtakia mafanikio mema katika kuirudisha hadhi ya UDASA
 
Baada ya UDASA kuongozwa kwa muda wa miaka miwili kama tawi la CCM hatimaye Prof Mkumbo amechaguliwa Mwenyekiti mpya. Tunamtakia mafanikio mema katika kuirudisha hadhi ya UDASA

Hongera Kitila Mkumbo. Hakikisha UDASA haiendelezi upuuzi wa mtangulizi wako. Ukiamua utairudisha UDASA enzi za Chachage
 
Last edited by a moderator:
Ukiwa CDM au UKAWA huwezi kuchaguliwa,lakin ukiwa kwenye chama legelege kama ACT,TLP watakuchagua ili waweze kukuburuza
 
Ni kweli mwanzo baada ya kujua yuko cdm walimfukuza, sasa amehamia act wamemrudisha.kwani act sio chama cha siasa?
 
Hili ni jembe la ukweli!, nilikuwa namsiliza jana BBC kuhusu kifo cha Rais Satta!.

Masikini kile chama!, they didn't know what treasures they had until when they lost it!.

Pasco

Lilishindwa kukamilisha kazi ya usaliti!
 
Hili ni jembe la ukweli!, nilikuwa namsiliza jana BBC kuhusu kifo cha Rais Satta!.

Masikini kile chama!, they didn't know what treasures they had until when they lost it!.

Pasco

I sincerely support you Pasco, kuwa Chadema ingeendelea kuwa na Kitila na Zitto na kutafuta namna bora ya kutumia talents walizonazo CCM ingekuwa chali mapema mno kabla ya hiyo 2015 yenyewe. Na hii inanipa mashaka kuamini kama Chadema ya sasa ikipewa kuongoza dola itaweza kweli kudeal na mambo makubwa ya nchi. May be let hope for the UKAWA!
 
Naona nguvu kubwa inatumika kubadili dhima ya mwanzisha uzi ".Uchaguzi wa UDASA- Mkumbo awa mwenyekiti". Sijajua lengo nini.

Katika kujaribu kuwa rudisha kwenye mada nina maswali haya hapa:

1. Ili uwe mwanachama wa UDASA unatakiwa uwe na sifa gani....mfanyakazi yeyote wa UDSM au mwalimu/mhadhiri/academic member of staff tu?

2. Kama sifa moja wapo ya hizo nilizotaja inahusika, Je.Ukishathibitishwa kuwa mfanyakazi halali katika kada husika moja kwa moja (automatilly) unakuwa member wa UDASA au kuna hatua ambazo lazima uzifuate (mfano jaza fomu nakadhalika) ?

3. Je. Katiba/mwongozo wa UDASA unasemaje kuhusu uhalali wa kikao kinaochofanywa kwa ajili ya kufanya uchaguzi wa viongozi wa UDASA?

Mkinisaidia kupata majibu ya maswali yangu nitakuwa kwenye nafasi nzuri ya kujadili kwa kina hoja ya mwanzisha uzi.
 
Acha unafiki Bhanaaa!!! Huyo msaliti amesoma alama za nyakati na kugundua kwamba ndani ya CHADEMA hata siku moja hakutakuwa na nafasi ya wasaliti. Kwanza mlidai CHADEMA hatuna ubavu wa kumfukuza Zitto, baada ya kufanya hivyo mkaanza kumuombea eti arudishwe!!! Sasa mnadai ameamua kuifuta kesi kwa ridhaa yake!!! Ukweli ni kwamba baada ya uchaguzi wake na kumpata mtendaji mzuri katika iliyokuwa nafasi ya huyo msaliti na pia kugundua kwamba hakubaliki na yeyote ndani ya CHADEMA (viongozi pamoja na wanachama) alikuwa hana jinsi bali kuifuta kesi.

unajisikiaje na wewe kukitumikia chama chako katika hiyo nafasi uliyo nayo?
 
Kitila ni jembe lililokosa mpini.. Ndo maana hakuwa na msimamo.. Ila jembe hili likipata mpini litatufaa sana... Don't count the past. Tumpe nafasi nyingine..
 
Back
Top Bottom