johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,028
- 142,086
Kufuatia kauli ya Mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA, Lema, kwamba Bodaboda ni laana watu mbalimbali wamejitokeza kuwafariji bodaboda.
Mbunge wa Ubungo Prof. Kitila Mkumbo amesema bodaboda wana mchango mkubwa sana jimboni kwake na wanaheshimika.
Prof. Kitila ametoa rai kwa wananchi kuwakataa wanaowalaani bodaboda.
===
Alichoandika Kitila kwenye ukurasa wake wa Twitter:
Mbunge wa Ubungo Prof. Kitila Mkumbo amesema bodaboda wana mchango mkubwa sana jimboni kwake na wanaheshimika.
Prof. Kitila ametoa rai kwa wananchi kuwakataa wanaowalaani bodaboda.
===
Alichoandika Kitila kwenye ukurasa wake wa Twitter:
Vijana wa Bodaboda ni sehemu muhimu sana katika jamii yetu kwa kutoa huduma za usafiri na ajira. Tutaendelea kuwapa support na kusukuma kurasimishwa kwa sekta hii muhimu. Sio ajira ya laana! Tuwakatae wanaowalaani vijana hawa