huyu si alikua marekani mwezi uliopita ,,kweli raha jipe mwenyewe.Ina maana kwamba alishindwa kumaliza mambo yote yalio mpeleka marekani wakati wa ziara yake iliyopita??Au ndo kubakisha viporo vya makusudi ili arudi tena,,halafu ina onekana anapenda sana kupanda ndege,,hana uchungu na pesa za uma as long as ana kula bata wa tz tuta jijua wenyewe.Halafu ana lalamika eti urais mgumu,,msh**###n*#z***##i sana huyu jamaa.