Prof. Kikwete aenda Marekani

Prof. Kikwete aenda Marekani

figganigga

Platinum Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
26,677
Reaction score
59,174
attachment.php

Rais Profesa Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na askari pamoja na wafanyakazi katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere kabla ya kupanda ndege ya shirika la Emirates kuelekea Marekani leo Novemba 6, 2014
attachment.php

Rais Profesa Jakaya Mrisho Kikwete akisindikizwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe Said Meck Sadik na Meneja wa Emirates katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere kabla ya kupanda ndege ya shirika la Emirates kuelekea Marekani leo Novemba 6, 2014

PICHA NA IKULU
 

Attachments

  • 1415298307067.jpg
    1415298307067.jpg
    88.9 KB · Views: 11,828
  • 1415298339633.jpg
    1415298339633.jpg
    58.1 KB · Views: 11,449
Mwache akatutafutie misaada pamoja na wawekezaji
 
Ndio yale mapumziko ya siku 20?
 
Ndege ya rais ya bilioni 40 ina matatizo?
Kwa hiyo ndo siku 20 hivyo!
Huyu rais ana matatizo kwelikweli...sijui tuliletewa na nani!!!!
 
Ile ndege ambayo Mramba alikuwa radhi tule majani ili inunuliwe iko gereji au!!
Siku ishirini Kikwete atatumia zaidi ya milioni mia moja kwa matanuzi!!
 
Ile ndege ambayo Mramba alikuwa radhi tule majani ili inunuliwe iko gereji au!!
Siku ishirini Kikwete atatumia zaidi ya milioni mia moja kwa matanuzi!!

Bilioni
 
Mwache akatutafutie misaada pamoja na wawekezaji



Tena siku hizi wafadhili wametuchoka wanatuletea hata wachoma mahindi na wakaangaji panzi/senene. Yaani nasubiri kwa hamu kuona kina Snoopy, Lil Wayne, na wapuuzi wengine kuja kuwekeza kwenye kiko/pipes za kuvutia bangi. Yaani hii nchi tunasanifiwa ile mbaya mpaka majirani wanatucheka.
 
Back
Top Bottom