Takataka kutoka jalalani"Dkt. Samia Suluhu Hassan ametimiza mambo makubwa ambayo Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius Nyerere aliyatamani lakini hakuweza kuyafanya." - Profesa Palamagamba Kabudi kwenye kampeni za CCM mkoani Mbeya.
View attachment 3464935
Huyu kwa hapa alipofika abaweza tamka yale yale ya mheshimiwa Mungu"Dkt. Samia Suluhu Hassan ametimiza mambo makubwa ambayo Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius Nyerere aliyatamani lakini hakuweza kuyafanya." - Profesa Palamagamba Kabudi kwenye kampeni za CCM mkoani Mbeya.
View attachment 3464935
Hii rekodi haiwez futuka, what an utter shite kutoka kwa mtu ambae ni prof"Hii dawa kule Madagascar anagawa rais mwenyewe mtaani"
View attachment 3464946
He is right. Mambo kama ya kina kiziga kujichotea mabilioni BOT Nyerere hakuweza kuyafanya.Astaghfirullah
"Dkt. Samia Suluhu Hassan ametimiza mambo makubwa ambayo Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius Nyerere aliyatamani lakini hakuweza kuyafanya." - Profesa Palamagamba Kabudi kwenye kampeni za CCM mkoani Mbeya.
View attachment 3464935
Hata kama ni kujikomba hii imezidi"Dkt. Samia Suluhu Hassan ametimiza mambo makubwa ambayo Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius Nyerere aliyatamani lakini hakuweza kuyafanya." - Profesa Palamagamba Kabudi kwenye kampeni za CCM mkoani Mbeya.
View attachment 3464935
Ni mwenyewe mkuuHivi kabudi ndo uyu aliemshukuru magufuli kwa kumtoa jalalani (udsm)
Kabudi huyuhuyu aliyemuita Jiwe mheshimiwa Mungu"Dkt. Samia Suluhu Hassan ametimiza mambo makubwa ambayo Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius Nyerere aliyatamani lakini hakuweza kuyafanya." - Profesa Palamagamba Kabudi kwenye kampeni za CCM mkoani Mbeya.
View attachment 3464935
Jalala huyo."Dkt. Samia Suluhu Hassan ametimiza mambo makubwa ambayo Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius Nyerere aliyatamani lakini hakuweza kuyafanya." - Profesa Palamagamba Kabudi kwenye kampeni za CCM mkoani Mbeya.
View attachment 3464935
Nilitaka ni reply tusi ila baada ya kuona hii nimetulia zanguAstaghfirullah