Prof Kabudi na utamaduni wetu wa kupenda kubishana bila sababu

Kamundu

Platinum Member
Nov 22, 2006
6,608
8,749
Tusemeni ukweli ubishi ni kati ya vitu ambavyo vimekuwa kama utamaduni wetu. Tukikutana hata kwenye misiba kuna watu watatafuta kitu cha kubiashana tu. Huyu mzee ni hobby yake kubishana bila kujua wakati mwingine anabisha nini na kwa mafanikio ya nani.

Waziri wa mambo ya nchi za nje ni mtu mkubwa sana na anatakiwa kuleta wawekezaji, watalii, kuhimiza dispora wawekeze, kutangaza nchi na ni mwongeaji wetu wa nchi huko nje. Lakini huyu Prof amekuwa anaendeleza hobby yake ya ubishi kwenye kazi bila kupata matunda yeyote.

Ukiangalia vizuri kwenye mahojiano au maongezi badala ya kusaidia na kupeleka nchi mbele amekuwa ndiye mleta skendo kila siku kuanzia wataki wa madini. Kiongozi hasa kama huyu kila akipngea anatakiwa kuwa na plan kwamba je maongezi haya yananufaisha vipi nchi.

Mfano angeweza kusema tu kirahisi kwenye mahojiano kwamba kulikuwa na ugaidi kule na tunapigana kama nchi nyingine na ugaidi kwa kila namna watu wangemwelewa tu lakini amekuwa kila kitu akiongea ni kujigamba bila sababu ya msingi. Kama asikojifunza itakuwa vizuri abadilishwe maana ki kubwa tunataka kuoana matokeo ya maendeleo na inashangaza Magufuli angeweza kumweka Slaa au Masilingi na wangefanya vizuri kuliko huyu mzee.

Lakini ni fundisho tusipeleke hobby zetu na utamaduni zetu za ubishi kazini
 
Tusemeni ukweli ubishi ni kati ya vitu ambavyo vimekuwa kama utamaduni wetu. Tukikutana hata kwenye misiba kuna watu watatafuta kitu cha kubiashana tu. Huyu mzee ni hobby yake kubishana bila kujua wakati mwingine anabisha nini na kwa mafanikio ya nani. Waziri wa mambo ya nchi za nje ni mtu mkubwa sana na anatakiwa kuleta wawekezaji, watalii, kuhimiza dispora wawekeze, kutangaza nchi na ni mwongeaji wetu wa nchi huko nje. Lakini huyu Prof amekuwa anaendeleza hobby yake ya ubishi kwenye kazi bila kupata matunda yeyote. Ukiangalia vizuri kwenye mahojiano au maongezi badala ya kusaidia na kupeleka nchi mbele amekuwa ndiye mleta skendo kila siku kuanzia wataki wa madini. Kiongozi hasa kama huyu kila akipngea anatakiwa kuwa na plan kwamba je maongezi haya yananufaisha vipi nchi. Mfano angeweza kusema tu kirahisi kwenye mahojiano kwamba kulikuwa na ugaidi kule na tunapigana kama nchi nyingine na ugaidi kwa kila namna watu wangemwelewa tu lakini amekuwa kila kitu akiongea ni kujigamba bila sababu ya msingi. Kama asikojifunza itakuwa vizuri abadilishwe maana ki kubwa tunataka kuoana matokeo ya maendeleo na inashangaza Magufuli angeweza kumweka Slaa au Masilingi na wangefanya vizuri kuliko huyu mzee. Lakini ni fundisho tusipeleke hobby zetu na utamaduni zetu za ubishi kazini

With all due respect, Masilingi huyu balozi wetu DC?

Seriously?
 
umeandika usichokuwa na uelewa nacho vizuri na siku nyingine ficha ujinga wako kwa kujiepusha kuwa na hekima ya kila kitu. Kabudi alieleza kuwa kwa masuala yanayohatarisha amani, usalama wa umma, uchunguzi hayatakiwi kutolewa kwa umma mpaka pale yatakapobainika ukweli wake. Wale waandishi walishikwa na nini mpka kuanza kuhoji tena kwa kulazimisha majibu kwa kitu ambacho kasema? hapo ni nani ana tabia ya ubishi, yule ambaye analazimishwa kuambiwa jambo lisilomuhusu au yule anayeongea ili kulinda katiba na sheria za nchi yake?
 
Watanzania waliongea naye wakati wa mkutano wa diaspora lakini huyu Prof hata ushauri yeye anachukulia kama vile ni ubishi. Kama tunafikiria tunajua kila kitu hatutaki ushauri je ni kwanini bado tuko karibu mwisho kwenye uwekezaji? Ni kwanini bado masikini hivi? Ni lazima tusikilize mawazo hata kama hukubaliani nayo yote.
 
umeandika usichokuwa na uelewa nacho vizuri na siku nyingine ficha ujinga wako kwa kujiepusha kuwa na hekima ya kila kitu. Kabudi alieleza kuwa kwa masuala yanayohatarisha amani, usalama wa umma, uchunguzi hayatakiwi kutolewa kwa umma mpaka pale yatakapobainika ukweli wake. Wale waandishi walishikwa na nini mpka kuanza kuhoji tena kwa kulazimisha majibu kwa kitu ambacho kasema? hapo ni nani ana tabia ya ubishi, yule ambaye analazimishwa kuambiwa jambo lisilomuhusu au yule anayeongea ili kulinda katiba na sheria za nchi yake?

Sio mahojiano haya tu mimi nasema Prof kwa ujumla wake. Kama unafikiria anafanya kazi vizuri sawa ni kupishana kimawazo tu na kuna ambao wanafikiria kama mimi. Topic ni Prof sio mimi
 
Eti na wewe umeandika ,ujinga mtupu,takataka tu hii
Tusemeni ukweli ubishi ni kati ya vitu ambavyo vimekuwa kama utamaduni wetu. Tukikutana hata kwenye misiba kuna watu watatafuta kitu cha kubiashana tu. Huyu mzee ni hobby yake kubishana bila kujua wakati mwingine anabisha nini na kwa mafanikio ya nani.

Waziri wa mambo ya nchi za nje ni mtu mkubwa sana na anatakiwa kuleta wawekezaji, watalii, kuhimiza dispora wawekeze, kutangaza nchi na ni mwongeaji wetu wa nchi huko nje. Lakini huyu Prof amekuwa anaendeleza hobby yake ya ubishi kwenye kazi bila kupata matunda yeyote.

Ukiangalia vizuri kwenye mahojiano au maongezi badala ya kusaidia na kupeleka nchi mbele amekuwa ndiye mleta skendo kila siku kuanzia wataki wa madini. Kiongozi hasa kama huyu kila akipngea anatakiwa kuwa na plan kwamba je maongezi haya yananufaisha vipi nchi.

Mfano angeweza kusema tu kirahisi kwenye mahojiano kwamba kulikuwa na ugaidi kule na tunapigana kama nchi nyingine na ugaidi kwa kila namna watu wangemwelewa tu lakini amekuwa kila kitu akiongea ni kujigamba bila sababu ya msingi. Kama asikojifunza itakuwa vizuri abadilishwe maana ki kubwa tunataka kuoana matokeo ya maendeleo na inashangaza Magufuli angeweza kumweka Slaa au Masilingi na wangefanya vizuri kuliko huyu mzee.

Lakini ni fundisho tusipeleke hobby zetu na utamaduni zetu za ubishi kazini
 
Bora hule mkutano wao na barriks kunegoshiet malipo walifanya kwa siri yani ingekuwa wazi sijui. Jamaa najua alikuwa anawalekcha human anthropology aliyokariri UDSM akidhani atasifiwa ni bonge la msomi
 
Tusemeni ukweli ubishi ni kati ya vitu ambavyo vimekuwa kama utamaduni wetu. Tukikutana hata kwenye misiba kuna watu watatafuta kitu cha kubiashana tu. Huyu mzee ni hobby yake kubishana bila kujua wakati mwingine anabisha nini na kwa mafanikio ya nani.

Waziri wa mambo ya nchi za nje ni mtu mkubwa sana na anatakiwa kuleta wawekezaji, watalii, kuhimiza dispora wawekeze, kutangaza nchi na ni mwongeaji wetu wa nchi huko nje. Lakini huyu Prof amekuwa anaendeleza hobby yake ya ubishi kwenye kazi bila kupata matunda yeyote.

Ukiangalia vizuri kwenye mahojiano au maongezi badala ya kusaidia na kupeleka nchi mbele amekuwa ndiye mleta skendo kila siku kuanzia wataki wa madini. Kiongozi hasa kama huyu kila akipngea anatakiwa kuwa na plan kwamba je maongezi haya yananufaisha vipi nchi.

Mfano angeweza kusema tu kirahisi kwenye mahojiano kwamba kulikuwa na ugaidi kule na tunapigana kama nchi nyingine na ugaidi kwa kila namna watu wangemwelewa tu lakini amekuwa kila kitu akiongea ni kujigamba bila sababu ya msingi. Kama asikojifunza itakuwa vizuri abadilishwe maana ki kubwa tunataka kuoana matokeo ya maendeleo na inashangaza Magufuli angeweza kumweka Slaa au Masilingi na wangefanya vizuri kuliko huyu mzee.

Lakini ni fundisho tusipeleke hobby zetu na utamaduni zetu za ubishi kazini
Mh. Raisi alimuokota jalalani. According to his words..
Hivyo msishangae akiongea maneno ya jalalani.
 
umeandika usichokuwa na uelewa nacho vizuri na siku nyingine ficha ujinga wako kwa kujiepusha kuwa na hekima ya kila kitu. Kabudi alieleza kuwa kwa masuala yanayohatarisha amani, usalama wa umma, uchunguzi hayatakiwi kutolewa kwa umma mpaka pale yatakapobainika ukweli wake. Wale waandishi walishikwa na nini mpka kuanza kuhoji tena kwa kulazimisha majibu kwa kitu ambacho kasema? hapo ni nani ana tabia ya ubishi, yule ambaye analazimishwa kuambiwa jambo lisilomuhusu au yule anayeongea ili kulinda katiba na sheria za nchi yake?
Hahahahaaaaaa,sasa unataka mwandishi wa habari wa BBC afanane na mwandishi wa habari wa TBC???
Aiseeee,wenzetu ndio huwa wanachokonoa mpaka utapike tu!!!!
 
Hahahahaaaaaa,sasa unataka mwandishi wa habari wa BBC afanane na mwandishi wa habari wa TBC???
Aiseeee,wenzetu ndio huwa wanachokonoa mpaka utapike tu!!!!
wanachokonoa lakini bahati mbaya wamekutana na mchokonoaji na yeye kawachokonoa. Zuhura Yunus anaulizwa hata hapa uingereza kulikuwa na sakata la irish attack, uchunguzi wake uliwahi kuwekwa hadharani? nikaona dada wa watu kakodoa macho ya kama anamuambia Prof. achana na hayo utaniponza.
 
wanachokonoa lakini bahati mbaya wamekutana na mchokonoaji na yeye kawachokonoa. Zuhura Yunus anaulizwa hata hapa uingereza kulikuwa na sakata la irish attack, uchunguzi wake uliwahi kuwekwa hadharani? nikaona dada wa watu kakodoa macho ya kama anamuambia Prof. achana na hayo utaniponza.
Hiyo siyo kazi ya mwandishi kujibu maswali,kazi ya mwandishi ni kuuliza maswali na kupata majibu kutoka upande wa Kabudi!!!!
Hayo maswali kabudi alipaswa kuwauliza serikali ya uingereza!!!!
 
Tusemeni ukweli ubishi ni kati ya vitu ambavyo vimekuwa kama utamaduni wetu. Tukikutana hata kwenye misiba kuna watu watatafuta kitu cha kubiashana tu. Huyu mzee ni hobby yake kubishana bila kujua wakati mwingine anabisha nini na kwa mafanikio ya nani.

Waziri wa mambo ya nchi za nje ni mtu mkubwa sana na anatakiwa kuleta wawekezaji, watalii, kuhimiza dispora wawekeze, kutangaza nchi na ni mwongeaji wetu wa nchi huko nje. Lakini huyu Prof amekuwa anaendeleza hobby yake ya ubishi kwenye kazi bila kupata matunda yeyote.

Ukiangalia vizuri kwenye mahojiano au maongezi badala ya kusaidia na kupeleka nchi mbele amekuwa ndiye mleta skendo kila siku kuanzia wataki wa madini. Kiongozi hasa kama huyu kila akipngea anatakiwa kuwa na plan kwamba je maongezi haya yananufaisha vipi nchi.

Mfano angeweza kusema tu kirahisi kwenye mahojiano kwamba kulikuwa na ugaidi kule na tunapigana kama nchi nyingine na ugaidi kwa kila namna watu wangemwelewa tu lakini amekuwa kila kitu akiongea ni kujigamba bila sababu ya msingi. Kama asikojifunza itakuwa vizuri abadilishwe maana ki kubwa tunataka kuoana matokeo ya maendeleo na inashangaza Magufuli angeweza kumweka Slaa au Masilingi na wangefanya vizuri kuliko huyu mzee.

Lakini ni fundisho tusipeleke hobby zetu na utamaduni zetu za ubishi kazini
Bora Dkt.Mahiga.

Uwaziri wa mambo ya nje ni diplomasia.Si malumbano.Ata Membe Benard angefaa!
 
Tusemeni ukweli ubishi ni kati ya vitu ambavyo vimekuwa kama utamaduni wetu. Tukikutana hata kwenye misiba kuna watu watatafuta kitu cha kubiashana tu. Huyu mzee ni hobby yake kubishana bila kujua wakati mwingine anabisha nini na kwa mafanikio ya nani.

Waziri wa mambo ya nchi za nje ni mtu mkubwa sana na anatakiwa kuleta wawekezaji, watalii, kuhimiza dispora wawekeze, kutangaza nchi na ni mwongeaji wetu wa nchi huko nje. Lakini huyu Prof amekuwa anaendeleza hobby yake ya ubishi kwenye kazi bila kupata matunda yeyote.

Ukiangalia vizuri kwenye mahojiano au maongezi badala ya kusaidia na kupeleka nchi mbele amekuwa ndiye mleta skendo kila siku kuanzia wataki wa madini. Kiongozi hasa kama huyu kila akipngea anatakiwa kuwa na plan kwamba je maongezi haya yananufaisha vipi nchi.

Mfano angeweza kusema tu kirahisi kwenye mahojiano kwamba kulikuwa na ugaidi kule na tunapigana kama nchi nyingine na ugaidi kwa kila namna watu wangemwelewa tu lakini amekuwa kila kitu akiongea ni kujigamba bila sababu ya msingi. Kama asikojifunza itakuwa vizuri abadilishwe maana ki kubwa tunataka kuoana matokeo ya maendeleo na inashangaza Magufuli angeweza kumweka Slaa au Masilingi na wangefanya vizuri kuliko huyu mzee.

Lakini ni fundisho tusipeleke hobby zetu na utamaduni zetu za ubishi kazini
kulikuwa na ugaidi WEWE mbona nawe ni yale yale unawezaje kukubali na kusema kuna ugaidi nchini kwako na utegemee kupata wawekezaji?
 
Hiyo siyo kazi ya mwandishi kujibu maswali,kazi ya mwandishi ni kuuliza maswali na kupata majibu kutoka upande wa Kabudi!!!!
Hayo maswali kabudi alipaswa kuwauliza serikali ya uingereza!!!!
kama ana nia ya kuchokonoa mijadala iliyo katika uchunguzi Prof kampa kazi ya kuchokonoa huo mjadala wa İrish attack aone kama waingereza hawajampakia kesho kwenye ndege ya kwanza asubuhi arudishwe nchini
 
Tusemeni ukweli ubishi ni kati ya vitu ambavyo vimekuwa kama utamaduni wetu. Tukikutana hata kwenye misiba kuna watu watatafuta kitu cha kubiashana tu. Huyu mzee ni hobby yake kubishana bila kujua wakati mwingine anabisha nini na kwa mafanikio ya nani.

Waziri wa mambo ya nchi za nje ni mtu mkubwa sana na anatakiwa kuleta wawekezaji, watalii, kuhimiza dispora wawekeze, kutangaza nchi na ni mwongeaji wetu wa nchi huko nje. Lakini huyu Prof amekuwa anaendeleza hobby yake ya ubishi kwenye kazi bila kupata matunda yeyote.

Ukiangalia vizuri kwenye mahojiano au maongezi badala ya kusaidia na kupeleka nchi mbele amekuwa ndiye mleta skendo kila siku kuanzia wataki wa madini. Kiongozi hasa kama huyu kila akipngea anatakiwa kuwa na plan kwamba je maongezi haya yananufaisha vipi nchi.

Mfano angeweza kusema tu kirahisi kwenye mahojiano kwamba kulikuwa na ugaidi kule na tunapigana kama nchi nyingine na ugaidi kwa kila namna watu wangemwelewa tu lakini amekuwa kila kitu akiongea ni kujigamba bila sababu ya msingi. Kama asikojifunza itakuwa vizuri abadilishwe maana ki kubwa tunataka kuoana matokeo ya maendeleo na inashangaza Magufuli angeweza kumweka Slaa au Masilingi na wangefanya vizuri kuliko huyu mzee.

Lakini ni fundisho tusipeleke hobby zetu na utamaduni zetu za ubishi kazini
mara zote watu wanaopenda ligi (ubishi) hata pasipotakikana ni wale wanaougua kaugonjwa fulani kadogo kanakoitwa "inferiority complex".
 
kama ana nia ya kuchokonoa mijadala iliyo katika uchunguzi Prof kampa kazi ya kuchokonoa huo mjadala wa İrish attack aone kama waingereza hawajampakia kesho kwenye ndege ya kwanza asubuhi arudishwe nchini
Uzuri wenzetu vyombo vya habari viko huru,sio kama huku kwetu!!!
Kuna siku Trump aliwashukia CNN kuwa wanaichafua marekani badala ya kuitangaza vema ulimwenguni,CNN wakamjibu " sio kazi yetu kuitangaza marekani,hiyo ni kazi yako Mr president,kazi yetu ni kureport the news"!
Ingekuwa bongo sijui hicho chombo cha habari kingeishia wapi!!!!!!

Trump aliwahi kumpiga marufuku mtangazaji wa CNN kutinga ikulu,yaani white house,Mahakama ikatengua katazo hilo na kumruhusu mwandishi huyo kuingia ikulu!!

Usijaribu kulinganisha uhuru wa habari wa hao jamaa na sisi!!!!

Ukiingia anga za Zuhura,anakung'ata kisawa sawa!
Lowassa aliwahi bananishwa kidogo ajinyee palepale!!!
 
Sio mahojiano haya tu mimi nasema Prof kwa ujumla wake. Kama unafikiria anafanya kazi vizuri sawa ni kupishana kimawazo tu na kuna ambao wanafikiria kama mimi. Topic ni Prof sio mimi
Kwa kweli this is the waste ever foreign minister Tanzania has ever had
 
Back
Top Bottom