GE2025 Prof. Kabudi: Dkt. Samia amejaliwa maono makubwa

GE2025 Prof. Kabudi: Dkt. Samia amejaliwa maono makubwa

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Prof. Palamagamba Kabudi, Mgombea Ubunge Jimbo la Kilosa akizungumza kwenye Mkutano wa Kampeni za Kumnadi Mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan Mkoani Morogoro leo Agosti 29, 2025
 
Kwa magu ulisema kakutoa majalalani leo kwa samia unasema maono makubwa.

Huyu kama angekuwa baba mkwe wako anaweza kuwa chawa wako kama umeoa binti yake .
 
The birds will be flying high tomorrow.”

Caesar cipher seems to be used more than
Vigenère cipher


Continue Steganographying between RM and JK

Britanicca
 
Prof. Palamagamba Kabudi, Mgombea Ubunge Jimbo la Kilosa akizungumza kwenye Mkutano wa Kampeni za Kumnadi Mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan Mkoani Morogoro leo Agosti 29, 2025

Prof Kabudi bwana. Hapo angekosa fursa ya kugombea ubunge asingesema hivi. Muda mwingine ni vyema kuwa na kiasi Rais sio Mungu.
 
Prof. Palamagamba Kabudi, Mgombea Ubunge Jimbo la Kilosa akizungumza kwenye Mkutano wa Kampeni za Kumnadi Mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan Mkoani Morogoro leo Agosti 29, 2025

Sasa kuna haja gani ya kuwa Profesa kama asiye Profesa anaweza kuwa na maoni makubwa kuliko? Nashauri Kabudi avuliwe u-Profesa na Mamlaka husika kwa kweli.
 
Profesa mjinga Kuwahi kutokea......
Huyu si ndo alikua na Polepole kipindi cha katiba huyu mzee ameshaonja pesa ya kwenye siasa kitendo cha kutolewa UDSM akasema ametoka jalalani tokea hapo huwa namuona kama ni mtu mpumbavu ambae hajawahi kutokea
 
Huyu si ndo alikua na Polepole kipindi cha katiba huyu mzee ameshaonja pesa ya kwenye siasa kitendo cha kutolewa UDSM akasema ametoka jalalani tokea hapo huwa namuona kama ni mtu mpumbavu ambae hajawahi kutokea
Alifinywa kidogo alipostaafishwa kuonyeshwa jinsi maisha yanaweza kuwa tofauti🐼
 
ccmtanzania_0240f9cdfdcc4e0596defd7ea47b8210.jpg
ccmtanzania_0240f9cdfdcc4e0596defd7ea47b8210.jpg
 
Njaa mbayaa, yaani Prof mzima anajishusha hadi anakuwa mdogo kama piriton kwa form 4 failure!!.
 
Back
Top Bottom