Prof. Joyce Ndalichako, Hata Wewe Ulikuwa Unawakopa Walimu Ulipokuwa Katibu Mkuu Wa NECTA?

Maistro 1

JF-Expert Member
Sep 4, 2015
422
181
Kati ya mambo ya kushangaza katika sekta ya ualimu ni hili la kusimamia mitihani ya kitaifa ya kuhitimu kidato cha IV ya NECTA yaani linaonekana kama vile halina muongozo maalamu na kibaya zaidi wale walio kasimishwa kusimamia ufanyikaji wa mitihani hii katika mikoa na wilaya wanataka kufanya kazi ya kusimamia kama kazi ya kujitolea, wakati ni kazi ngumu na ya risk sana kulingana na sheria za mitahani na za kutunza siri za nchi, ndiyo maana kuna baadhi ya wilaya semina ya kusimamia inaweza ikaendeshwa kavu kavu bila chakula chochote hata maji tu, maana yake nini mwalimu anaweza akawasili saa 2 asubuhi kwenye semina mpaka saa 8 mchana bila kula chochote na bila posho yoyote na majibu yaliyozoeleka ya waliopewa mamlaka kuendesha zoezi hili katika wilaya ni kwasababu tu hamukupewa chakula basi posho yenu itakuwa 40,000/= ila mtaletewa kwenye vituo vya mitihani mkiwa munasimamia na ikitokea tu walimu wamepewa chakula basi posho inapungua mpaka 20,000/=

Ila ukikumbukwe kwa miaka yote ya nyuma watahiniwa wamekuwa wakitozwa hela kwa ajili ya kujisajili na hii hela ni gharama ya kuendesha zoezi zima la mitihani kwa mfano mwaka jana watahiniwa wamelipa 50,000/= Na kama mtihiniwa ameshindwa ku meet deadline faini yake ilikuwa ni kubwa sana. Sasa swari la msingi ni kama watahiniwa walichangishwa kiasi hicho kikubwa maana kina zidi hata iliyokuwa ada ya shule za kutwa, Kwanini wakati wa zoezi lilipokuwa linatakata kuanza/limeanza maafisa elimu walikuwa wanalalamika eti NECTA hawajatuma hela yoyote kwa ajili ya kuendesha shughuli za mitihani? Na kama NECTA walikuwa hawana hela ya kutosha kuliendesha zoezi kwanini waruhusu zoezi lianze? hawaoni kama wana entertain udanganyifu kwa baadhi ya walimu maana wengine wanapangiwa mbali na vituo vyao vya kazi halafu wanaanza kuishi huko kwa gharama zao, so wakiishiwa unafikiri nini kinafuata?

Na nafikiri mwaka huu NECTA wameweka rekodi mpya yaani kuwakopa walimu harafu wakipata hela watawalipa, mpaka leo tarehe 21.01.2016 NECTA wameshindwa kulipa posho za walimu waliosimamia kidato cha IV wilaya ya MISUNGWI, imagine mitihani ilifanyika week ya kwanza ya November 2015 so mpaka leo ni takribani miezi mitatu(3). Je huku siyo kua - undermine fani ya ualimu na kuwazarau walimu. Fani hipi nyingine Tanzania hii watumishi wake wanaweza kufanya kazi ya kitaifa kama hii harafu malipo yao yakawa zaidi ya miezi 3. Je huku siyo kukatisha tamaa walimu? Ingekuwa ni kwa majirani zetu Wakenya mwaka huu zoezi hili lingepata wakati mgumu sana ila kwasababu tu ya njaa za walimu wa Tanzania ambao wameshakuwa kama kichwa cha mwendawazimu wataenda tena kusimamamia angalau wapate hata kalaki na nusu nje ya mshahara.

Waziri wa elimu Prof. Joyce Ndalichako wilaya ya Misungwi - Mwanza, walimu waliosimamia mitihani ya kuhitimu kidato cha IV mwaka 2015 mpaka leo hawajakamilishiwa malipo ya posho zao za kusimamia mitihani. Je, hata wewe ulipokuwa katibu mkuu wa Baraza La Mitihani La Tanzania (NECTA) ulikuwa ukiwakopa walimu? Maana utamaduni wa jamii husika hurithishwa kizazi hadi kizazi.
 
binafsi sina imani sana na katibu mkuu wa baraza la mitihani. walimu ndio wanaoongoza kukopwa na serikali. ni aibu sana....
 
Polen sana walimu! Inauma sana kuona jinsi serikali inavyowafanyia watumishi wake, kwanza haiwathamini hata kidogo, na pale wanapokosea kidogo tu serikali haiwaachi. Siasa kila kona. Kuna watu wao utawasikia Hapa kazi tu, ila hawajui namna gani watu wanavyonyanyasika na bado hakuna hata dalili za kujinasua hapo tulipo. Kwa kawaida rais mpya anaeingia madarakan anapewa siku mia moja kumtathimin, na hii haina maana kuangalia kama ametimiza ahadi...!! No! Siku 100 huwa wanaangalia mfumo gani na njia gani ameziweka ili kufikia malengo yake? Ila sijajua kama bado tunaelewa rais wetu atakavyotekeleza ahadi zake kwan bado anaunda timu yake na bado kuna panga pangua. Bunge linaanza soon, nadhan tusubiri tuone kama kuna muelekeo wowote. But endeleen kudai haki yenu
 
Sasa mbona hatari inakuja!kama watahiniwa walikuwa wakilipa ada ya mitihani, na sasa serikal inalipa michango yote,mtakopwa sana tena sana,gharama ya kuprosses paper ni kubwa mno mpaka matokeo yatoke,walimu endeleeen kujitolea hakuna wa kuwasaidia.Tena mwaka huu hata posho zitapunguzwa.
 
Maistro 1 niliwah kulifatilia hili,maana mwaka jana kwenye mitihan ya Form II na IV lilitokea,nilijibiwa kuwa NECTA sio walioaji,walipaji ni HALMASHAURI HUSIKA,wao ndo wanapaswa kutenga hayo mafungu yakulipa walim,so usipolipwa si NECTA bali MKURUGENZI wako
 
Sasa mbona hatari inakuja!kama watahiniwa walikuwa wakilipa ada ya mitihani, na sasa serikal inalipa michango yote,mtakopwa sana tena sana,gharama ya kuprosses paper ni kubwa mno mpaka matokeo yatoke,walimu endeleeen kujitolea hakuna wa kuwasaidia.Tena mwaka huu hata posho zitapunguzwa.
Huenda mwaka huu hali ikawa mbaya zaid au ikaboreshwa maana huko nyuma hakukua na mambo ya kukopana,kabla kaz haijaisha things have already cleared
 
Itashangaza sana iwapo matokeo ya kidato cha IV 2015 yatatoka bila kukamilisha posho za walimu wa wilaya ya Misungwi.
 
Sidhani kama NECTA ndio wanawalipa wasimamizi wa mitihani,nafikiri ni Halmashauri au wizara ya elimu
 
Kijana
Kati ya mambo ya kushangaza katika sekta ya ualimu ni hili la kusimamia mitihani ya kitaifa ya kuhitimu kidato cha IV ya NECTA yaani linaonekana kama vile halina muongozo maalamu na kibaya zaidi wale walio kasimishwa kusimamia ufanyikaji wa mitihani hii katika mikoa na wilaya wanataka kufanya kazi ya kusimamia kama kazi ya kujitolea, wakati ni kazi ngumu na ya risk sana kulingana na sheria za mitahani na za kutunza siri za nchi, ndiyo maana kuna baadhi ya wilaya semina ya kusimamia inaweza ikaendeshwa kavu kavu bila chakula chochote hata maji tu, maana yake nini mwalimu anaweza akawasili saa 2 asubuhi kwenye semina mpaka saa 8 mchana bila kula chochote na bila posho yoyote na majibu yaliyozoeleka ya waliopewa mamlaka kuendesha zoezi hili katika wilaya ni kwasababu tu hamukupewa chakula basi posho yenu itakuwa 40,000/= ila mtaletewa kwenye vituo vya mitihani mkiwa munasimamia na ikitokea tu walimu wamepewa chakula basi posho inapungua mpaka 20,000/=

Ila ukikumbukwe kwa miaka yote ya nyuma watahiniwa wamekuwa wakitozwa hela kwa ajili ya kujisajili na hii hela ni gharama ya kuendesha zoezi zima la mitihani kwa mfano mwaka jana watahiniwa wamelipa 50,000/= Na kama mtihiniwa ameshindwa ku meet deadline faini yake ilikuwa ni kubwa sana. Sasa swari la msingi ni kama watahiniwa walichangishwa kiasi hicho kikubwa maana kina zidi hata iliyokuwa ada ya shule za kutwa, Kwanini wakati wa zoezi lilipokuwa linatakata kuanza/limeanza maafisa elimu walikuwa wanalalamika eti NECTA hawajatuma hela yoyote kwa ajili ya kuendesha shughuli za mitihani? Na kama NECTA walikuwa hawana hela ya kutosha kuliendesha zoezi kwanini waruhusu zoezi lianze? hawaoni kama wana entertain udanganyifu kwa baadhi ya walimu maana wengine wanapangiwa mbali na vituo vyao vya kazi halafu wanaanza kuishi huko kwa gharama zao, so wakiishiwa unafikiri nini kinafuata?

Na nafikiri mwaka huu NECTA wameweka rekodi mpya yaani kuwakopa walimu harafu wakipata hela watawalipa, mpaka leo tarehe 21.01.2016 NECTA wameshindwa kulipa posho za walimu waliosimamia kidato cha IV wilaya ya MISUNGWI, imagine mitihani ilifanyika week ya kwanza ya November 2015 so mpaka leo ni takribani miezi mitatu(3). Je huku siyo kua - undermine fani ya ualimu na kuwazarau walimu. Fani hipi nyingine Tanzania hii watumishi wake wanaweza kufanya kazi ya kitaifa kama hii harafu malipo yao yakawa zaidi ya miezi 3. Je huku siyo kukatisha tamaa walimu? Ingekuwa ni kwa majirani zetu Wakenya mwaka huu zoezi hili lingepata wakati mgumu sana ila kwasababu tu ya njaa za walimu wa Tanzania ambao wameshakuwa kama kichwa cha mwendawazimu wataenda tena kusimamamia angalau wapate hata kalaki na nusu nje ya mshahara.

Waziri wa elimu Prof. Joyce Ndalichako wilaya ya Misungwi - Mwanza, walimu waliosimamia mitihani ya kuhitimu kidato cha IV mwaka 2015 mpaka leo hawajakamilishiwa malipo ya posho zao za kusimamia mitihani. Je, hata wewe ulipokuwa katibu mkuu wa Baraza La Mitihani La Tanzania (NECTA) ulikuwa ukiwakopa walimu? Maana utamaduni wa jamii husika hurithishwa kizazi hadi kizazi.
mnapenda
Kati ya mambo ya kushangaza katika sekta ya ualimu ni hili la kusimamia mitihani ya kitaifa ya kuhitimu kidato cha IV ya NECTA yaani linaonekana kama vile halina muongozo maalamu na kibaya zaidi wale walio kasimishwa kusimamia ufanyikaji wa mitihani hii katika mikoa na wilaya wanataka kufanya kazi ya kusimamia kama kazi ya kujitolea, wakati ni kazi ngumu na ya risk sana kulingana na sheria za mitahani na za kutunza siri za nchi, ndiyo maana kuna baadhi ya wilaya semina ya kusimamia inaweza ikaendeshwa kavu kavu bila chakula chochote hata maji tu, maana yake nini mwalimu anaweza akawasili saa 2 asubuhi kwenye semina mpaka saa 8 mchana bila kula chochote na bila posho yoyote na majibu yaliyozoeleka ya waliopewa mamlaka kuendesha zoezi hili katika wilaya ni kwasababu tu hamukupewa chakula basi posho yenu itakuwa 40,000/= ila mtaletewa kwenye vituo vya mitihani mkiwa munasimamia na ikitokea tu walimu wamepewa chakula basi posho inapungua mpaka 20,000/=

Ila ukikumbukwe kwa miaka yote ya nyuma watahiniwa wamekuwa wakitozwa hela kwa ajili ya kujisajili na hii hela ni gharama ya kuendesha zoezi zima la mitihani kwa mfano mwaka jana watahiniwa wamelipa 50,000/= Na kama mtihiniwa ameshindwa ku meet deadline faini yake ilikuwa ni kubwa sana. Sasa swari la msingi ni kama watahiniwa walichangishwa kiasi hicho kikubwa maana kina zidi hata iliyokuwa ada ya shule za kutwa, Kwanini wakati wa zoezi lilipokuwa linatakata kuanza/limeanza maafisa elimu walikuwa wanalalamika eti NECTA hawajatuma hela yoyote kwa ajili ya kuendesha shughuli za mitihani? Na kama NECTA walikuwa hawana hela ya kutosha kuliendesha zoezi kwanini waruhusu zoezi lianze? hawaoni kama wana entertain udanganyifu kwa baadhi ya walimu maana wengine wanapangiwa mbali na vituo vyao vya kazi halafu wanaanza kuishi huko kwa gharama zao, so wakiishiwa unafikiri nini kinafuata?

Na nafikiri mwaka huu NECTA wameweka rekodi mpya yaani kuwakopa walimu harafu wakipata hela watawalipa, mpaka leo tarehe 21.01.2016 NECTA wameshindwa kulipa posho za walimu waliosimamia kidato cha IV wilaya ya MISUNGWI, imagine mitihani ilifanyika week ya kwanza ya November 2015 so mpaka leo ni takribani miezi mitatu(3). Je huku siyo kua - undermine fani ya ualimu na kuwazarau walimu. Fani hipi nyingine Tanzania hii watumishi wake wanaweza kufanya kazi ya kitaifa kama hii harafu malipo yao yakawa zaidi ya miezi 3. Je huku siyo kukatisha tamaa walimu? Ingekuwa ni kwa majirani zetu Wakenya mwaka huu zoezi hili lingepata wakati mgumu sana ila kwasababu tu ya njaa za walimu wa Tanzania ambao wameshakuwa kama kichwa cha mwendawazimu wataenda tena kusimamamia angalau wapate hata kalaki na nusu nje ya mshahara.

Waziri wa elimu Prof. Joyce Ndalichako wilaya ya Misungwi - Mwanza, walimu waliosimamia mitihani ya kuhitimu kidato cha IV mwaka 2015 mpaka leo hawajakamilishiwa malipo ya posho zao za kusimamia mitihani. Je, hata wewe ulipokuwa katibu mkuu wa Baraza La Mitihani La Tanzania (NECTA) ulikuwa ukiwakopa walimu? Maana utamaduni wa jamii husika hurithishwa kizazi hadi kizazi.
kwakweli kuna watu wanapotosha sana humu. Baraza halihusili na ulipaji ppsho kwa walinu. Ni vizuri ukawasiöiana na mkutugenzi wako..tamisemi. nyinyi walimu mpo chini ya tamisemi..na kama kulipwa ni chini ya mkurugenzi
 
Kijana

mnapenda

kwakweli kuna watu wanapotosha sana humu. Baraza halihusili na ulipaji ppsho kwa walinu. Ni vizuri ukawasiöiana na mkutugenzi wako..tamisemi. nyinyi walimu mpo chini ya tamisemi..na kama kulipwa ni chini ya mkurugenzi
Wewe vipi? hiyo michango ya mtahani wa kidato cha IV Tshs. 50,000 ilikuwa inawekwa kwenye akaunti ipi? ya NECTA au TAMISEMI? Usiwatetee NECTA ni jipu? hawawezi ku organize mtahani wa taifa kidato cha IV harafu wanawapelaka walimu kwenye vituo mbali na vituo vyao vya kazi bila malipo yoyote baadae wanatanguliza kiasi kidogo cha pesa cha kuwapoza walimu harafu wanaingia mitini. Mkuu NECTA nijipu?
 
Hii inashangaza sana yaani matokeo yanakaribia kutoka lakini walimu walio simamia hawajalipwa posho zao, kumbe kusimamia hakuna maana mimi nawashauri walimu wa Misungwi mwaka huu wagome wasisimamie mitihani ya NECTA maana hili baraza linajali wanao sahihisha mitihani hiyo tu. Na kusimamia inaonekana ni kazi isiyo na muhimu kabisa. Haiwezekani anaesahihisha unamulipa takribani milioni 2 bila hata longolongo na huku anaesimamia ufanyikaji wa hiyo mitihani anaeyetakiwa kulipwa 240,000 unashindwa. Na toa wito kwa walimu wa Misungwi mwaka huu wagome kusimamia mitihani kama Kenya.
 
Back
Top Bottom