Tky
JF-Expert Member
- Oct 1, 2012
- 439
- 140
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Mtaa wa Kimara Matangini kimeandaa mkutano mkubwa, utakao fanyika katika viwanja vya Kimara mwisho stand siku ya tarehe 1/05/2015.
Mgeni rasmi katika mkutano huo atakua prof J.
Upatapo tarifa hi mjulishe na mwenzio karibu sana.
Mgeni rasmi katika mkutano huo atakua prof J.
Upatapo tarifa hi mjulishe na mwenzio karibu sana.