Prof. J kutikisa Kimara mwisho DAR

Prof. J kutikisa Kimara mwisho DAR

Tky

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2012
Posts
439
Reaction score
140
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Mtaa wa Kimara Matangini kimeandaa mkutano mkubwa, utakao fanyika katika viwanja vya Kimara mwisho stand siku ya tarehe 1/05/2015.

Mgeni rasmi katika mkutano huo atakua prof J.

Upatapo tarifa hi mjulishe na mwenzio karibu sana.
 
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Mtaa wa Kimara Matangini kimeandaa mkutano mkubwa, utakao fanyika katika viwanja vya Kimara mwisho stand siku ya tarehe 1/05/2015.

Mgeni rasmi katika mkutano huo atakua prof J.

Upatapo tarifa hi mjulishe na mwenzio karibu sana.

Pro J wa CDM ndo nani huyo, anawadhifa gani katika Chama hadi kuwa mgeni rasmi? Nauliza tu?
 
Viva makamanda tuko nyuma yenu kwa maombi maana SAVIMBI hapendi kabisa mambo ya namna hii
 
Back
Top Bottom