akicancel wanashangilia,Pale unaoneshwa tu kwamba nani anaamrisha hapa, jaribu ku test uone.
Ndiyo maana hata hizo sikukuu mkuu mmoja tu akiamua kuzi cancel anazi cancel kwa sababu zake za kitoto. Bila haja ya mjadala wa bunge wala kupiga kura.
Na watu wanamshangilia tu.
Akiamua kuzirudisha anazirudisha, kama vile zile sababu za ku cancel alizotoa zimeisha.
Na watu wanamshangilia tu.
Tunaoneshwa tu nani mwamba hapa.
akirudisha wanashangilia.
kama ng’ombe.