Prof Issa Shivji: Kwanini tunasherehekea uhuru kwa vitisho vya majeshi badala ya matukio yaliyobeba ujumbe wa amani na umoja wetu?

TBC walikuwa wanatoa hotuba mbali mbali za Baba wa Taifa tangu enzi za AA, TAA hadi TANU na baadaye uhuru.
Kama TBC walifanya ivyo kudos hila uhuru sio Nyerere pekee ndio siku pia ya kusimulia pilika za TANU jitahada za wengine kama wale mzee Mohammed Said kila siku anaowaongelea, kipindi hiki tunataka kusikia interviews za watu caliber ya mzee Lusinde Machela (kaka mkubwa wa John malecela) na wengineo waliokuwa hai tangu serikari ya mwanzo ata raia wa kawaida wakielezea jamii ya miaka hiyo; etc with the history of the day, heroic tales of other and prior events.

Unataka kipindi hiki mashuleni walimu watumie jitihada kuwaelewesha wanafunzi nini maana ya hii siku na kulikuwa na madhara gani, kwanini wawe wazalendo, wawashirikise wanafunzi kwa ubunifu wao kimatendo kama sehemu ya nationalism propaganda.

Unataka serikari za halmashauri ziweke jitihada siku/ wiki kadhaa kuelekea sherehe za uhuru kuhimiza matendo ya uzalendo etc kwa ubunifu wao serikari lazima itoe central theme ya kitu kinachoenziwa kwenye siku ya uhuru na event zote zitakazofanyika kwengine zifanane.

Ni hivi uwezi sherekea Diwali (siku ambayo mwanga umeushinda giza) bila ya kurusha mabaruti.

Ata kwa upande wa sherehe za dini kama Iddi zote, Pasaka na Christmas zina ritual zake ambazo waumini wanazitekeleza; hiyo ni sehemu ya kuwekea meaning sherehe.

Similarly National Days kwa wenzetu wanaziwekea meaning na kusudi jamii ishariki au ipate elimu on the significance of the day; that is what make it special na kutengeneza propaganda za nationalism.

To make something special, you got to make people believe it’s special.

Sasa unafanya sherehe ya uhuru mipicha ya ndege za ATCL ina uhusiano gani, kwangaru ya nini, picha la Samia Suluhu, Kassim Majaliwa na Magu lina symbolise nini.

Mimi sina shida na jeshi, isipokuwa the whole event for the most was pathetic it doesn’t symbolise independence bali ni kuhusu mtukufu Magu na jeshi ( halafu hao jeshi si wanasiku yao ya kumbukumbu).
 
Tumesherekea hivi miaka mingi na nchi nyingi husherekea namna hii. Kama kuna vitu vya kuongeza ashauri kuboresha.
Waboreshe kwa kuacha kuonyesha Mbinu za siri za kijeshi hususani Comandoo na vikosi vingine
 
Embu tuchukue mfano wa sherehe za national Day (Remberance Sunday; siku ya kukumbuka askari waliopoteza maisha wakiipigania Britain kuanzia WW1 na vita vilivyofuata) kwa wenzetu jinsi symbolism inavyotumika na ritual nzima zinavyoendana na meaning of the day. Kwenye kutengeneza propaganda.

F3826879-8F03-409C-AD30-97086A546700.jpeg


Utaona wiki kadhaa nyuma kuelekea kwenye hiyo sherehe viongozi na raia kwa ujumla wanavaa poppy flower

DEA31DD0-5760-49F4-9D1A-CE92BD6F3850.jpeg


Utaona queen, members wengine wa royal family, mashule, wananchi wana promote hayo maua au wanauza kama charity ku raise money for army veterans.

B3DA1A4E-9CE7-495F-87E2-56160D0615C1.jpeg


Ni maana ya poppy flowers? Mamillioni ya askari walifariki vita ya kwanza ya dunia na katika hizo battle fields poppy flowers zilishamiri pembeni ya maiti. Kwa ivyo poppy symbolise lost soldiers in the battle field.

565BB950-8868-400E-BD72-9FDE1B4FC283.jpeg


Sherehe japokuwa inaitimishwa karibu na maeneo ya serikari kuu huko london (Whitehall) baada ya sala ya jumapili na baada ya queen pamoja ni viongozi wa kitaifa wanaenda laza maua mbele ya mnara; lakini nchi nzima halmshauri/vijiji wote wanafanya ritual moja ya kwenda kanisani, kabla ya saa tano kuna 2 minutes silent kwa sababu huo ndio muda Germany ilisarenda WW1 na maua yanalazwa mbele ya mnara.

Baada ya hapo kuna army victory march huko sehemu remote wananchi wenyewe wana march au watoto wa shule; huku wengine mkishangilia ushindi.

Sasa embu tujiuluze ile sherehe yetu mwanzo mwisho ina symbolise nini? Zaidi ya watu kutumia hela ovyo za walipa kodi.
 
Acha nikachekee mbali.
Ndio utambue hivyo, Operations za makomandoo ni za shughuli maalum.

Mo akorofishane na wadosi wenzake kibiashara halafu makomandoo wakamuokoe!!.

Jengo litekwe na magaidi mfano Mlimani City au jengo la wizara fulani ndio hao jamaa wanaingia kazini.

Ingia youtube utaziona video nyingi za vikosi maalum vya Marekani, Uingereza na Russia.
 
Ndio utambue hivyo, Operations za makomandoo ni za shughuli maalum.

Mo akorofishane na wadosi wenzake kibiashara halafu makomandoo wakamuokoe!!.

Jengo litekwe na magaidi mfano Mlimani City au jengo la wizara fulani ndio hao jamaa wanaingia kazini.

Ingia youtube utaziona video nyingi za vikosi maalum vya Marekani, Uingereza na Russia.

Phillipo hivi bado unadhani kuna wajinga wa kuwaambia kuwa Mo kutekwa kwake ni kwakuwa alikuwa na mikwaruzano na Asians wenzake? Nasema hivi, acha nikachekee mbali
 
Amenena Prof mwenyewe wa ukweli. Mimi ni nani wa kumpinga mwalimu wangu?


View attachment 1288317
=====
Enyi WatuWema Mnijibu kwa dhati. Kwa nini Tusisherehekee Uhuru Kwa maua, michezo na marashi? Kwa nini Tusisherehekee Uhuru Kwa mikongamano, mikutano na mihadhara? Kwa nini Tunasherehekea Uhuru Kwa gwaride, vifaru na ndege za kivita Kwa mabomu ya machozi na mabunduki ya kutisha?
Shivji acha unafiki naona unazeka vibaya,duniani kote nchi zinaposherehekea siku kuu ya Uhuru huadhimisha kwa vifaa vya kijeshi kama vile magaya ya deraya,ndege za kivita na hata hapa tanzanian hatujaanza leo,hayo maua kampelekee mkeo na wanao,toka umeanza makongamano ni kipi kimebadirika ,siku ya uhuru sio siku ya kigoda cha mwalimu mnachoadhimisha kwa makongamano,sherehe za uhuru sio harusi hadi utake maua
 
Kuonesha silaha au zana za kivita ni ishara kwamba hili ni taifa huru na lina uwezo wa kulinda mipaka yake dhidi ya aina yeyote ya adui amayeweza kuhatarisha usalama wa nchi.


My take
Tujitahidi kuwaza vitu positively. Negativity will take us nowhere.
Kwa maigizo yale??
 
nashangaa profesa unashindwaje logic ndogo Kama hizo ni hivi

TUNAPO SHEREHEKEA KWA GRARIDE NA VIFARU NA MAZOEZI YA VIKOSI VYA USALAMA NI KUONYESHA UMMA KUWA TUMEPATA UHURU ,LAKINI PIA HATUJALALA KUNA JITIHADA NYINGI ZINA FANYIKA KUHAKIKISHA TUNAULINDA UHURU HUU KWA NJIA ZA DIPLOMASIA NA NGUVU PIA

UIMARA WA VIKOSI UNADHIDISHA IMANI KWA WANANCHI KWA JESHI LAO

NI HAYO MKUU
Kwani ungeandika kwa herufi ndogo tusingeona?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Magwaride yalikuwepo toka enzi za Mwl. JKN.
waliofuata wakaendekeza utamaduni.

Kwanini Issa aulize sasa. Huko nyuma hakuwa anaona au sasa kawa na akili za kujiuliza kwanini mwagwaride na sio mihadhara?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani kama akuwaza hilo uko nyuma ni kosa akiliwaza sasa, au binadamu siku hizi haruhusiwi kuwaza mawazo mapya?
 
Mzee amechoka sasa akili imeanza kuondoka, kama wakati akiwa na nguvu hakuona hilo eti ndio kaliona leo au ni chuki tu? Miaka yote yanafanyika hakuwa na macho sasa ndi yameona sio?. Namuuliza miaka ya nyuma hakuyaona au hayakuwapo? Mpeni pole.
Kwani binadamu anaukomo wakuwaza jambo jipya?
 
Message sent and delivered. Angeuliza pia mbona tunapenda kuvaaa yale magwanda siku hizi?
 
Phillipo hivi bado unadhani kuna wajinga wa kuwaambia kuwa Mo kutekwa kwake ni kwakuwa alikuwa na mikwaruzano na Asians wenzake? Nasema hivi, acha nikachekee mbali
Ninachokwambia kazi ya hao special forces ni mazingira ya kigaidi zaidi ndio maana hata mmoja wa waigizaji alivaa kofia zile nyekundu.

Uokoaji mkubwa ndio unaowahusu. Ninajua wewe unaongea kejeli mimi naongea uhalisia.
 
Awamu hii viongozi wanajisikia fahari sana wanapofoka na kuonekana wanaogopwa. Katika mwendelezo huo huo, fahari yao ni kuona kila mahali kuna vyombo vya dola vinavyotisha. Ni ukosefu wa upeo. Ni uwendawazimu ndio unaotusumbua.
 
Back
Top Bottom