mwana wa africa
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 548
- 128
ni muda muafaka na ishara njema kwa vyama vya siasa kuunganisha nguvu na kuweka mbele maslahi ya taifa kwanza kabla ya vyama vyao na kujenga imani kwa watanzania walio wengi kuwa vyama ya upinzani viko makini katika kusimamia mabo ya msingi na kupingana na kila aina ya dhuluma na ufisadi ambao unapelekea wo kuishi maisha ya kubahatisha. kwa cdm ni turufu kwani usahiba wao unaweza kuwasaidia kuingoa ccm madaarakanikwa urahisi zaidi kwa pandee zote mbili za muungano. japokuwa kwa cuf naona kunaviongozi 2 tu kwa upande wa bara pro lipumba na julius mtatiro. kwa upande mwingine naona hii inaweza kuwaadvantage kwa cdm kupenya maeneo cuf yenye ushawishi mkubwa kwa mgongo wa opposition partinesrship, na hii ni kwa sababu cdm wana viongozi wengi wenye ushawishi mkubwa wa siasa za majukwaani kama G lema, sugu mnyika kabwe, nassari, mdee, kakunguru ben sanare etc. pia ni wakat mzuri kwa viongozi wa TLP nA nccr kujitambulisha kwa wananchi katika sehemu mbalimbali za nchi. pamoja na hayo naona ni wakati mzuri kwa vyama hivi kuendelea kuvuna wanachamana viongozi kutoka ccm na kujiongezea nguvu kama mataji kwa ajili ya chaguzi zijazo. washikane katika hoja hizi za kitaifa. Pamoja tutafika!