Prof Chinua Achebe is dead

Prof Chinua Achebe is dead

RIP Proffessor! You will always be remembered for your outstanding and magnificent work on African culture!! Your GREATEST as far as the AFRICAN culture is concerned!!
 
Rest in Peace Prof.

R.I.P Man of the people

No longer at Ease
 
Nemesoma vitabu vyake kama Things Fall Apart, A Man of the People na The Anthills of the Savanah.... The man was great, the themes are clear in all these books, it is like he was living in the future... RIP Chinua.

Sent from my BlackBerry 8900 using JamiiForums
 
The great Nigerian author Chinua Achebe once wrote: "Proverbs are the palm oil with which words are eaten
 
Yule mwandishi maarufu wa vitabu vya literature Chinua Achebe amefariki dunia. Hii ni habari ya kusikitisha sana kwa wale washabiki wake mimi mwenyewe nikiwepo pamoja na wasomaji wa african literatures.

Hii ni kwa mujibu wa fan page yake kwenye facebook na gazeti la the Guardian UK. habari zaidi soma kwenye link hapo chini. Bwana alitoa na bwana ametwaa. Rest in Peace comrade, you were the real father of african literatures.

Novelist Chinua Achebe dies, aged 82 | Books | guardian.co.uk
 
As "Things Fall Apart" in today's Africa, we feel "No Longer at Ease" losing "A Man of The People" like Prof Achebe...so long Chinua !

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Ivi ndo aliandika Things fall apart au No longer at easy?
Kitambo toka niguse ivi vitabu tangulia mzee tutakukuta siku na wakati ukifika and RIP
 
Rest In Peace Champion Achebe, you have fulfilled well your responsibilities as a son of Africa, It is up to us now, to stand&fight.
 
people like chinua achebe to us chadema followers shall never be forgotten because of his truth,patriote mind and need for change like DK SLAA we will remember you achebe forever and we will make monument for you. sleep well under the earth prof.RIP the founder of african literature
by motela j. A
 
................They dance in the dark, and then wanaingiza mikono mifukoni baada ya kudensi in the dark.......... RIP Achebe
 
No-Longer-at-Ease.jpg


Mimi Nilikisoma kikiwa kwenye Cover hii mwaka 1975 nikiwa form 1 pale Musoma Alliance. Sikutaka hata kungoja Mtaala! RIP 'A Man Of the People' Chinua Achebe.
 
kiukwel from my heart, hakuna mwandishi wa riwaya niliyemkubal kama prof. Chinua Achebe! jamaa anaweza kwn nakumbuka nikiwa form three mwaka 2005 nilienjoy sana novel yake ya things fall apart. then nikiwa form six 2008 pale njombe secondary nilienjoy sana kitabu chake chake cha a man of the people! na kilinifanya nifaulu somo la kiingereza! The man was very creative than ever!
RIP ACHEBE!!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom