ummu kulthum
JF-Expert Member
- Feb 6, 2012
- 2,784
- 1,317
mungu ailaze roho ya maremu pema pepon
Imagine! Sijui ni vitu gani vinavyo-create impact kwa kizazi hiki kama ilivyokuwa kwetu with great thinkers kama akina Nyerere, Achebe, Camara Laye, Ngugi nk - watu ambao walikuwa wana-shape thinking and patriotic culture of young minds! Sasa hivi tumefika pahala tunasikia serikali haina hata mitaala! Sad indeed!
msalimie IKEMEFUNA
Western life attracted him more, he took his talents to America where he lived and died. Sad commentary for an "African hero" who wrote about the legacy of colonialism and Western hegemony.Brown University, where Mr. Achebe worked until he took ill
Muwe mnaangalia basi thread walizoanzisha wenzenu kuepusha msongamano wa thread.Habari hii ipo hapa toka asubuhi..
R.I.P.mpaka leo nakumbuka jina la okonkwo,sijui kwenye Things Fall Apart