nkumbison
JF-Expert Member
- Sep 22, 2013
- 2,219
- 2,971
Alikuta avata yangu inaelea juu ya uzi akajua mi ndio nimeufungua, ila nia yake aku quote wewe. Endelea kumjibu.Hujamuelewa
Alikuta avata yangu inaelea juu ya uzi akajua mi ndio nimeufungua, ila nia yake aku quote wewe. Endelea kumjibu.Hujamuelewa
Ushuzi mtupu..hizo tunawaachia washamba washamba..Je bado Sana ya uko usafini?
Oliver ngoma, alishafariki mgabon huyu. Nakumbuka ilikuwa 2010, alikuwa na shida ya figo. Kwa upande wangu, huyu na monique seka ndio waliokuwa vinara wa zouk afrika.Huyu jamaa alikuwa na mawe makali mengi sijui bado yupo ama?
Ngoma zake zilkuwa zimekaa kwenye mzani mzuri huyu ndo mtaalam wa zouk mwenyewe
Speaking of zouk, hivi Mr paul yuko wapi huyu fundi wa zouk bongo. Kulikuwa na jamaa mmoja alikuwa akiitwa ismail alikuwaga in africa band nao longtime kimya.Oliver ngoma, alishafariki mgabon huyu. Nakumbuka ilikuwa 2010, alikuwa na shida ya figo. Kwa upande wangu, huyu na monique seka ndio waliokuwa vinara wa zouk afrika.
Kuna ile ngoma inaitwa Baba paroko ni aina gani ya mziki ile? Zouk au?Speaking of zouk, hivi Mr paul yuko wapi huyu fundi wa zouk bongo. Kulikuwa na jamaa mmoja alikuwa akiitwa ismail alikuwaga in africa band nao longtime kimya.
RhumbaKuna ile ngoma inaitwa Baba paroko ni aina gani ya mziki ile? Zouk au?
Kali sana naomba mfano wa zouk!!!Rhumba
Kuna sebene za koffi olomide
1.Tshoutshoutshou
2. Papa ngwasuma
3. Effrakata
4. Abracadabra
5. Selfie
6. Danger de Mort
7. Loi
8. Pharmacien(ladha murua taratibu)
9. Aspirine (ladha murua taratibu)
Kesho tena tutaendelea na list
Mzee wa kukesha hivi hulalagi
Madilu .....Yajaaa bonge la songKwa wale wapenzi wa muziki wa zamani bolingo japokuwa mimi sio old skool ila nimetokea tu kuzijua nyimbo nyingi kutokana na nature ya kazi nilizowahi kufanya na ninazofanya
Ninachojiuliza zamani teknolojia kuwa ndogo lakini mbona bolingo hizo nyingi sauti na vyombo vimepangiliwa kwa ufasaha maskioni nini siri kubwa hasa waliyotumia?
Yaani unajikuta tu nyimbo huchoki kuiskiliza Nyimbo kama ya mwanamama tshala muana "Mario" unachokaje kwa mfano? Sound safi ,vyombo vimepangiliwa vizuri .
Utachagua ipi? Bado sana ya kina nyange? Aah wapi?
Hizi ni baadhi ya nyimbo za zamani zitakazokupa usikivu mzuri kwenye maskio yako.
1: Franco - Mario
2; Monique Seka - Okaman
3: Tshala Muana - Mario
4: Madilu System- Yajaa
5; Madilu System -si je sa vais
6: Tabu Ley - Ibeba
7: Mbilia Beli - Nairobi
8: Madilu System - Sansa ya papi
9: Nyimbo zote za Franco
10: Oliver Ngoma - Icole
11: oliver ngoma - Lusa, Alphonsie
12: Kanda Bongoman - Muchana
13: Bozi Boziana - Pitie
Hizo kwangu Mimi wamepatia sana waliorekodi na kupiga vyombo
Walifanya vipi ikiwa maproducer wa sasa wana equipment nzuri na wanatengeza muziki big g?
Ongezea zako.
Zouk ni kama zakina oliver ngoma, monica seka nkKali sana naomba mfano wa zouk!!!
Au ndo zile za Papa wemba.
Ameongelea ubora wa sauti za vyombo(beat) katika wimbo, siyo aina za nyimbo. Umemuelewa vibaya. Kama pepa hapo unaondoka na buyu. Ametaja hizo nyimbo za zamani kama mifano tu.Usione kwa kuw ww ni mtu wa 1980's ukatak na sis wa mitano tena tupewe uchafu wenu wa zamani..
MBWEHA WEWE
Hahahahah dah nimecheka sanaAlikuta avata yangu inaelea juu ya uzi akajua mi ndio nimeufungua, ila nia yake aku quote wewe. Endelea kumjibu.
Alikuwa kalewa msameheni huyoAmeongelea ubora wa sauti za vyombo(beat) katika wimbo, siyo aina za nyimbo. Umemuelewa vibaya. Kama pepa hapo unaondoka na buyu. Ametaja hizo nyimbo za zamani kama mifano tu.
Hilo li madilu noma sanaMadilu .....Yajaaa bonge la song
Franco......Mamou aiseee
Mkuu umenikumbusha mbali Sana aisee