Producer wa Kenya aliyeibiwa beat na Harmonize amtaka Harmonize aombe msamaha la sivyo atafuta hata audio ya Uno baada ya video kufutwa, pia ataenda mahakamani kudai haki yake.
Kiki kivp?huyo mkenya Hana masihara asipo angalia vizuri harmonize huyo mkenya atampeleka mahakamani Kama kaweza kufuta video ya uno atashindwa vp kufanya hivyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.