PROCUREMENT TO ACCOUNTACY

PROCUREMENT TO ACCOUNTACY

tibmanzenjj

Member
Joined
Feb 26, 2014
Posts
18
Reaction score
4
Vp hali zenu wana jukwaa . Nimemaliza diploma katika fani ya manunuzi , ila kwa upande wa degree nimeona niombe uhasibu . Kwani naona ni vyema kua na vyeti viwili vya fani tofauti ,kwani hapo baadae nitakuja kutumia vyote viwili . Je maamuzi haya ni sahihi na yenye tija?
 
kama upo vizuri kwenye masomo ya account na math hujafanya jambo baya.
 
kama upo vizuri kwenye masomo ya account na math hujafanya jambo baya.
PROCUREMENT NA ACCOUNT
WANASHARE MASOMO MENGI SANA IKIWEMO HIYO HESABU NA ACCOUNT NA WANAACHANA KTK MASOMO MACHACHE SANA PIA
SIDHAN KAMA UTASHINDWA KUSOMEA UHASIBU HALI YA KUA UMEFAURU PROCUREMENT
HAPO NI SAWA NA KAKA NA MDOGO
 
PROCUREMENT NA ACCOUNT
WANASHARE MASOMO MENGI SANA IKIWEMO HIYO HESABU NA ACCOUNT NA WANAACHANA KTK MASOMO MACHACHE SANA PIA
SIDHAN KAMA UTASHINDWA KUSOMEA UHASIBU HALI YA KUA UMEFAURU PROCUREMENT
HAPO NI SAWA NA KAKA NA MDOGO
tatizo sio kushea tatizo uwezo wa kuyamudu.
 
Back
Top Bottom