Leonce jr
JF-Expert Member
- Oct 5, 2023
- 3,179
- 5,179
Itamuua hii lazima kama sio kupotelea angani uko uko au baharini ni huzuni kwa kwa kweliPrivate jet ya Msanii na Mfanyabiashara maarufu duniani, Juma Jux inatarajiwa kuwasili Jumanne saa 7 mchana katika Uwanja wa ndege wa Julius Nyerere, jijini Dar es Salaam. Wote mnaalikwa kwenye mapokezi.