MKUYENGE
JF-Expert Member
- Jun 26, 2019
- 4,107
- 4,604
Bandland ni balaa namkubari yule kibonge Bargie na jambazi piriglam1.Prison Break
2. Into the Bad Lands
.
.
.
.10. Blind spot
.
.
.
20. Money Heist
Bandland ni balaa namkubari yule kibonge Bargie na jambazi piriglam1.Prison Break
2. Into the Bad Lands
.
.
.
.10. Blind spot
.
.
.
20. Money Heist
Monica GatzambireMadem wa kawaida tu mle.. mm namwelewa Monica tu!..
Hahaaa... sana....mkuu inavitia sana wanavyotombana umo ndani hao kina Nairobi, tokyo safi sana
meNairobi mbona ana pua kubwa sana nadhani Tokyo amemzidi ukali🤔🤔
Mkuu kuna blind sport uspimeHuwa sibadiliki.
Hakuna!! Hakuna!!
Mkuu kuna blind sport uspime
Jaribu kuichek utaniletea mrejeshoHata iwe ipi siitoi PB kwenye nafasi yake.
Siwezi kuipa nafasi ya kwanza.Jaribu kuichek utaniletea mrejesho
money heist inakupa amshamahsa yaani unapanga na mipango ya kuiba na wewe
Daaaah....HAKUNA KAMA LOST. HUWA SIISAHAU.Hujaitendea haki PB kuilinganisha na Money Heist. PB ni balaa jingine.
So far my best series:
1. Prison Break (nimeirudia zaidi ya 10 times)
2. Lost (nimeirudia zaidi ya 6 times,currently nairudia nipo season 4)
3. Revolution (niliumia sana haikuisha)
4. Person of Interest
5. Grim
Ninazo nyingi lakini pia huwa nazifuta. Kwa uchache nilizonazo ni;
Hostage
Ingobernable
Money heist
Suburra
The last ship
American odyssey
Ballers
Agent x us
Tyrant
Homeland
Power
Monkeys
Being mary jane
If loving you is wrong
Bates motel
Beauty and the beast na nyingine kadhaa.
Nipe list yako.
The BlacklistKama kichwa cha thread hapo juu kinavyosema
Ipi series nzuri hapo juu kuanzia uhusika mpaka series yenyewe ipi ni nzuri hasa zaidi tukiwazungumzia wahusika wakuu PRISON BREAK unamkuta Michael Scorfield na huku katika Money Heist unamkuta Sergio Marquina au Profesa
Japo kila mtu alikuwa na mission tofauti mmoja alikuwa anataka kutoroka katika magereza yenye ulinzi mkali kwa Prison Break na wa Money Heist alikuwa anacheza na askari kibao ili aweze kubaki mule ndani ili aweze kuendelea kutengeneza na afanikiwe kuwakimbia
Prison Break kuna kina Mahone,T~Bag,Sara na wengine.
Money Heist kuna kina Berlin,Moscow,Tokyo,Rio na Demu ninayempenda namsubiri aje bongo nimtongoze Nairobi.
Hakikisha umeangalia zote vizuri ila Money Heist hata ukiishia season ya pili.
N:B Muda mwingine tufurahie kwa kujadili vitu vyepesi na siyo kujiumiza kwa siasa za Tanzania zisizoeleweka
Naomba nifanyie connection basi nipate hizi Series mkuu!
Six na Homeland