donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,258
- 22,130
Nihivi inategeme intrest ya mtu ila zote nibomba!!24 inaonyesha jinsi wakubwawanavyotumia vyombo vya dola kutekereza uharifu wao nakana wewe nimpenzi wa policy za marekani kuhusu ugaidi utaona 24 ninzuri au the unit,Najama unapenda kujua waarifu wakimataifa wanavyoweza kujipenyeza kwenye magereza nakufanya watakalo na jinsi wanaweza kuwahonga wakuu wa magereza na waharifu kutoroka na kuona jinsi dola inavyoweza kuwasaka waharifu!!Ila kwangu mimi ninapenda 24,the unit,Command in chief.