Prison break vs. 24

Prison break vs. 24

donlucchese

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2011
Posts
17,258
Reaction score
22,130
Eti wadau wa series,nimekua nikibishana na wenzangu kuhusu hili jambo. Je,kati ya 24 na prison break ipi ni series bomba? Kati ya michael scofield na jack bauer nan balaa?
 
prison nyoko...
Prison iko juu vibaya mno.
Kwanza kuna vichwa ambavyo kila kukicha ulitamani kujua kitakachoendelea.

haimtegemei sana Michael coz kuna watu kama Lincolin, Sucre, Mahone, na Theodoro Bagwell pia nao walikuwa ni muhimu sana ktk series hii.

All in all kama kuna mtu atabisha basi ntampeleka room namba 88 kwa mr Avocado kisha pazia linafungwa...
 
24 inatisha zaidi maana inakutanua sana akili na uwezo wa tech wenzetu walipofika.....pia linganisha the unit zinapanua sana uwezo kufukiria!!
 
kwakweli zote ni kali mbaya na zinaladha tofauti ni ngumu sana kufananisha utamu wa embe na chungwa . THE UNIT niliiangalia kidogo sikuipenda sana sijui uko mbele imeendeleaje. kwa sasa natafuta series kali kama hizo 24 na prison break:help:. na kwa ambaye hajaangalia LOST namshauri aitafut nayo ni nzuri sana.
 
Nihivi inategeme intrest ya mtu ila zote nibomba!!24 inaonyesha jinsi wakubwawanavyotumia vyombo vya dola kutekereza uharifu wao nakana wewe nimpenzi wa policy za marekani kuhusu ugaidi utaona 24 ninzuri au the unit,Najama unapenda kujua waarifu wakimataifa wanavyoweza kujipenyeza kwenye magereza nakufanya watakalo na jinsi wanaweza kuwahonga wakuu wa magereza na waharifu kutoroka na kuona jinsi dola inavyoweza kuwasaka waharifu!!Ila kwangu mimi ninapenda 24,the unit,Command in chief.
 
kitu T-bag....huyu ndo alikuwa kla nikiangalia prison nabaki nacheka tu......

hakika prison iko juu......
 
ukifika Gereza la Sona unakutana na mtu anaitwa Lechero.
Kisha kabla hujakaa sawa kuna mbabe anakuja kukutupia mguu wa kuku mbele yako.
Unajuwa inamaanisha nini hapo?
 
Nihivi inategeme intrest ya mtu ila zote nibomba!!24 inaonyesha jinsi wakubwawanavyotumia vyombo vya dola kutekereza uharifu wao nakana wewe nimpenzi wa policy za marekani kuhusu ugaidi utaona 24 ninzuri au the unit,Najama unapenda kujua waarifu wakimataifa wanavyoweza kujipenyeza kwenye magereza nakufanya watakalo na jinsi wanaweza kuwahonga wakuu wa magereza na waharifu kutoroka na kuona jinsi dola inavyoweza kuwasaka waharifu!!Ila kwangu mimi ninapenda 24,the unit,Command in chief.

hapo mkuu umenibamba..., ndo nyumbani kabsaaa., hapo ongezea na The Event..!
 
Prison break ni noma tu kwa vile haina mbwembwe nyingi,ni ujanja wa kuwazidi kete mapolisi na maafisa magereza na then kujiachia kitaani. 24 ni noma zaidi katika swala zima la kiintelijensia,Bauer na chama lake wanatumia intelijensia na teknolojia ya hali ya juu kupambana na ugaidi wa hali ya juu(uliokubuhu).Ukifumba macho na kufikiria fasta fasta,then 24 inatisha vibaya mno!!
 
Jamani, mapolinganisha movies au TV series mjue mnalinganisha katika mazingira gani ! Sio mnaangalia tu movie na kusema movie fulani ni bomba! Kuna vitu vingi vina-determine kuwa movie fulani ni nzuri na fulani ni mbaya. Something like GENRE, je movie ina maudhui gani! Is it sci-fi, action, thriller, comedy etc! Mie naona movie zote ni bomba!
 
I don't have a dog in this fight lakini kulinganisha prison break na 24 ni kuwatukana creators wa 24.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom