Prichard gazeti la risasi kuhusu tukio la Westgate

Prichard gazeti la risasi kuhusu tukio la Westgate

BabaKasheshe

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2012
Posts
211
Reaction score
45
Katika kupitia habari za magazeti Leo, nimekuta gazeti la risasi tena ukurasa aw mbele Kabisa kuna picha ya mtu akihangaika an akiwa kajaa damu, hii in picha ambayo ilitolewa an gazeti kubwa la Kenya na kuzua malumbano makubwa hadikupelekea muhariri wa gazeti hilo kufukuzwa kazi. Je kulikuana haja ya kutumia picha hii?? Binafsi naonaa ni kukiuka maadili .....
 
Magazeti ya udaku huwa hayana mhariri, mwandishi atakayekuwa wa mwisho kutoka kazini ndio mhariri wa siku hiyo
 
Babakasheshe ww jinsi ya kiume alafu unasoma ayo magazeti???
 
Huwezi kutuwekea hiyo picha na sisi tuione.
 
Magazeti ya udaku huwa hayana mhariri, mwandishi atakayekuwa wa mwisho kutoka kazini ndio mhariri wa siku hiyo

hii nayo imetulia... Ndio maana habari nyingi .za uzushi uzushi ...
 
Back
Top Bottom