Mimi namsifu sana Zuma kuwa muwazi kwa kuoa rasmi kuliko hawa viongozi wetu wanaofanya ukahaba na uzinzi kwa kificho wa kuwa na wanawake kila mkoa, wilaya hata tarafa. Ukiacha huko mikoani na mawilayani, wana mahawala na vimada katika kila wizara, idara na mashirika mbali mbali. Mawazo yao ni ngono tu ndiyo sababu wanashindwa hata kuongoza nchi kwa uadilifu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.