Pressure cooker Wakuu hii sio hatari?

Pressure cooker Wakuu hii sio hatari?

Basi hii itakuwa fake nitumie njia gani Sasa wakuu? Au nibadilishe lile sufuria la ndani?
Hiyo presha cooker umeuziwa kwa mkataba wenye masharti magumu, au! Na hiyo sufuria ya kubadilisha unaitoa wapi? Na kwa nini hutaki kufuata ushauri wa kununua presha cooker nyingine?
 
Pressure cooker yangu naiosha sana ila bado inakuwa kama inatoa kutu na maji yanabadilika rangi kuwa kama meusi hata wali unabadilika rangi..

Nimeosha sana na Steel wire

Ila bado nitumie njia gani? Nisije kuwa nakula sumu bila kujua
Shida ya kwanza kutumuia steel wire kuoshea iyo unatakiwa uoshee na sponji

Pili iyo ni fakee nunua nyingine no mjadala ni fake bai ya jioni

Lamomy
 
Hiyo presha cooker umeuziwa kwa mkataba wenye masharti magumu, au! Na hiyo sufuria ya kubadilisha unaitoa wapi? Na kwa nini hutaki kufuata ushauri wa kununua presha cooker nyingine?
Sitaki kufuata ushauri wa kununua ingine kwa Sababu sina hel(unaweza kuninunulia)
Shida ya kwanza kutumuia steel wire kuoshea iyo unatakiwa uoshee na sponji

Pili iyo ni fakee nunua nyingine no mjadala ni fake bai ya jioni

Lamomy
 
Pressure cooker yangu naiosha sana ila bado inakuwa kama inatoa kutu na maji yanabadilika rangi kuwa kama meusi hata wali unabadilika rangi..

Nimeosha sana na Steel wire

Ila bado nitumie njia gani? Nisije kuwa nakula sumu bila kujua
NAUZA NYUMBA INA APARTMENT MBILI DAR

Ninauza nyumba yangu hapa vikindu nyuma ya mtaa wa polisi mwenye uhitaji unipigie 0625784681. Au wasap 0673294681. Ni nyumba ina apartments 2 na vyoo ndani.

Bei tsh. 23,000,000.00

Nitapunguza kidogo.
Nicheki wasap kama unahitaji picha na detailed information. Kataa mawinga.
 
Acha mara moja kuitumia hiyo cooker,
Afya yako ina thamani kuliko kitu chochote kile,

Kama hela zipo nunua nyingine ili usije ukatumia hela kujiuguza,

Narudia tena,Afya yako ndio mtaji wako wa maisha,hela zinatafutwa tu ila afya yako ni muhimu sana.
 
Pressure cooker yangu naiosha sana ila bado inakuwa kama inatoa kutu na maji yanabadilika rangi kuwa kama meusi hata wali unabadilika rangi..

Nimeosha sana na Steel wire

Ila bado nitumie njia gani? Nisije kuwa nakula sumu bila kujua
NYIEEE, PRESHA KUKA MPAKA INASUGULIWA NA STILIWAYA???

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Issue apa iyo sufuria ni fake , me pia na mult cooker sufuria yake ilikua ya mchongo ina pata kutu , Hadi leo nime liweka store nazani tupatiwe muongozo wa wapi wana uza sufuria zake.
 
Mteja unamwambia Pressure Cooker 200k anakwambia Nikienda kariakoo mpk 100k napata...

Haya Mteja Shukran, PRESSURE COOKER ya 100k hiyo umeiona Mkuu.

Hapo bado kula vifuniko
 
Issue apa iyo sufuria ni fake , me pia na mult cooker sufuria yake ilikua ya mchongo ina pata kutu , Hadi leo nime liweka store nazani tupatiwe muongozo wa wapi wana uza sufuria zake.
Hamna wanapouza katengeneze kwa wanaotengeneza Sufuria za kawaida nenda na size yako wakutengenezee sufuria.
 
Back
Top Bottom