Pressure cooker Wakuu hii sio hatari?

Pressure cooker Wakuu hii sio hatari?

Pressure cooker yangu naiosha sana ila bado inakuwa kama inatoa kutu na maji yanabadilika rangi kuwa kama meusi hata wali unabadilika rangi..

Nimeosha sana na msaada
Steel wire
Ila bado nitumie njia gani?
Nisije kuwa nakula sumu bila kujua
Pressure cooker inatakiwa kuwa stainless steel ukiona inaota kutu ujue hiyo ni feki mkuu.
 
Pressure cooker yangu naiosha sana ila bado inakuwa kama inatoa kutu na maji yanabadilika rangi kuwa kama meusi hata wali unabadilika rangi..

Nimeosha sana na msaada
Steel wire
Ila bado nitumie njia gani?
Nisije kuwa nakula sumu bila kujua
Usijekuta umenunua pressure cooker ya elfu65 ukapunguziwa mpaka elfu60 alafu unakuja kutupigia makelele hapa.
 
Pressure cooker yangu naiosha sana ila bado inakuwa kama inatoa kutu na maji yanabadilika rangi kuwa kama meusi hata wali unabadilika rangi..

Nimeosha sana na msaada
Steel wire
Ila bado nitumie njia gani?
Nisije kuwa nakula sumu bila kujua
Sasa hebu tueleze vizuri ni kitu gani kinatoa kutu,ni ile sufuria yake au au nini? kama ni sufuria basi kanunue sufuria mpya zinauzwa nyingi tu madukani
 
Pressure cooker yangu naiosha sana ila bado inakuwa kama inatoa kutu na maji yanabadilika rangi kuwa kama meusi hata wali unabadilika rangi..

Nimeosha sana na msaada
Steel wire
Ila bado nitumie njia gani?
Nisije kuwa nakula sumu bila kujua
Hiyo utakuwa ulipigwa mkuu.nadhani kubali tu matokeo.otherwise sema labda kama unatumia maji ya chumvi sana
 
Back
Top Bottom