Kwann usimuulize aliyekupimaWadau wenye utaalam hii presha inamaanisha ipo kawaida au imezidi? N je nini kifanyike kuiweka sawa
Sababu ya kupima ni ipi?Nimepima kwa machine personal..
159/60 vipi hii ina maana gani?
Kuwa tolu au kimbaombao hakuna maana kuwa huwezi kuwa na tatizo la presha maana kuna visababishi vingi ikiwemo kurithi. Cha muhimu ni kupima mara kwa mara na kufuata maagizo ya daktari...Hivi vipimo vya pressure aisee, ni kuwa navyo makini. Vinaweza kukufanya uishi ukidhani una tatizo la pressure. Kuna mwanangu mmoja tolu kimbao mbao alijisikiaga tu kwenda kupima pressure kwenye majibu nikasikia anaulizwa mara tatu tatu "ulikunywa kahawa" mwana alikataa.
Inawezekana, huenda pia mwamba nae alikuwa na mastress yake.Kuwa tolu au kimbaombao hakuna maana kuwa huwezi kuwa na tatizo la presha maana kuna visababishi vingi ikiwemo kurithi. Cha muhimu ni kupima mara kwa mara na kufuata maagizo ya daktari...