nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,769
Wanachama na wapenzi wa CCM duniani kote na wandishi wa habari macho na masikio leo yapo Dodoma ambapo katika hotel ya St. Gasper bwana Selasini atakuwa na mkutano KUELEZEA JINSI CHADEMA WALIVYOKATAA KUMUUNGA GROUP LA WHATSAPP.
Mkutano huo ni wa muhimu sana haswa UKICHUKULIA INTELEJENSIA YA POLISI ishagundua kwamba hakutakuwa na maambukizi ya corona tofauti na ule wa last week wa Bw. Mbowe ambapo jeshi hilo mahiri kabisa linalofanya kazi kwa weledi bila upendeleo lilibidi livunje press conference yake ili kumuokoa na corona.
Ikumbukwe ya kwamba Tanzania ni mojawapo ya nchi zinazofanya vizuri kudhibiti corona na inasemekana ni ya kwanza duniani kwani kuna vifo 10 tu huku Rais JPM akipongezwa duniani kote kwa kutoweka lockdown na kuhimiza vapour steaming ili KULIUA FUTA LA CORONA ndani ya degree 100, hata wansayansi wakubwa duniani wote wamempigia saluti kwa ubunifu wake huo.
Kwa leo hatutaki story za corona wala PPE wala sijui uchumi umefanya ninimwaalimu shule binafsi na malalamiko memngine yasiyo na maana,MACHO NA MASIKIO DODOMA TUJUE HILO GROUP LA WHATSAPP KUNANI? NANI ADMIN?
Hata kama Selasini alishatangaza ataondoka Chadema mwezi June kujiunga na mwanabadiliko, nguli liitwalo Mbatia zee laa mama Tanzania haimaanishi asiunge WhatsApp.
Imewasikitisha sana Watanzania, mimi mwenyewe nimekesha usiku mzima nalia machozi ya kutosha kwa kitendo hicho.
Mkutano huo ni wa muhimu sana haswa UKICHUKULIA INTELEJENSIA YA POLISI ishagundua kwamba hakutakuwa na maambukizi ya corona tofauti na ule wa last week wa Bw. Mbowe ambapo jeshi hilo mahiri kabisa linalofanya kazi kwa weledi bila upendeleo lilibidi livunje press conference yake ili kumuokoa na corona.
Ikumbukwe ya kwamba Tanzania ni mojawapo ya nchi zinazofanya vizuri kudhibiti corona na inasemekana ni ya kwanza duniani kwani kuna vifo 10 tu huku Rais JPM akipongezwa duniani kote kwa kutoweka lockdown na kuhimiza vapour steaming ili KULIUA FUTA LA CORONA ndani ya degree 100, hata wansayansi wakubwa duniani wote wamempigia saluti kwa ubunifu wake huo.
Kwa leo hatutaki story za corona wala PPE wala sijui uchumi umefanya ninimwaalimu shule binafsi na malalamiko memngine yasiyo na maana,MACHO NA MASIKIO DODOMA TUJUE HILO GROUP LA WHATSAPP KUNANI? NANI ADMIN?
Hata kama Selasini alishatangaza ataondoka Chadema mwezi June kujiunga na mwanabadiliko, nguli liitwalo Mbatia zee laa mama Tanzania haimaanishi asiunge WhatsApp.
Imewasikitisha sana Watanzania, mimi mwenyewe nimekesha usiku mzima nalia machozi ya kutosha kwa kitendo hicho.