Press Conference - CHADEMA HQ

Status
Not open for further replies.
shikamoo saa 8
 
Yaani mimi nitishike kwa siasa nyepesi?By the way leo namaliza adhabu yangu ya mwaka 1 ya kusimamishwa kugombea cheo chochote.What a Coincidence?

karibu kwenye jumuiya ya ushindi , nimekufuatilia tangu uliposimamishwa , mwenendo wako umekuwa wa kupigiwa mfano , hongera !
 
Mbowe ni mtu ambaye anaendekeza ukanda na ukabila sana ndo maana anatamani sana kumsajili fisadi EL na Sumay

mh. rais kila kitu nilichofanya kwenye richmond ni kwa maagizo yako-edward lowassa
 
Yaani mimi nitishike kwa siasa nyepesi?By the way leo namaliza adhabu yangu ya mwaka 1 ya kusimamishwa kugombea cheo chochote.What a Coincidence?

Vipi mkuu, bado una nia ya kuwa mwenyekiti wa bavicha??
 

@Ilboru,

Anafanya makusudi tu huyo.Msamehe!
 
Mkuu kama ulikuwa hujui kama mimi ni kwamba Ben Saanane analipwa million moja (1,000,000Tsh) kwa mwezi kwa kazi hii hii unayoitaja ya kushinda facebook, twiira(twitter hawezi kuitumia hayumo), targid, bbm, watsap, JF, linkeding, hi5 na kwenye blogs na hii ndiyo proffesional yake aliosomea India! Ukistajabu ya CHADEMA utashangaa ya Ben! #amezoeavyakunyongahuyu !
 

Ben Saanane anawatisha wajinga kama wewe usiosoma, mwenyewe nasoma pia.. Tatizo la ben ni kubwa kuliko Zitto, mimi nimemstudy sana huyu kijana he is so ambitious, alafu sio mtu wa kunegotiate, ni more of activists na hana sifa ya kuongoza watu wenye mawazo tofauti atawaua..hana tofauti na godfather wake mboe, na ukitaka kujua ben ni mtu hatari eti role model wake ni valdmir putin na kim jong lee
 
Last edited by a moderator:
Sipati Picha Bonge La Chama Likianzishwa Pale ZZK , Pale MABELE , Pale KITILA. Huku MTWA MKULU Hakuna Ukabila Hakuna Kujuana Hakuna Usaliti, Democracy Si Uhaini , Upinzani Wa Kweli MBONA MTATUJUA 2015!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…